Kingsmann
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 4,440
- 16,242
Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Thabo Mbeki, mwaka 2017 aliwahi kusema kinachoendelea katika nchi ya Afrika Kusini sio mashambulizi dhidi ya wageni kama inavyoelezwa bali ni dhidi ya wahalifu na hakuna mashambulizi dhidi ya wafanyakazi halali wa ki-Nigeria au Wafanyabiasha.