Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,615
- 38,589
Afadhali wewe mie wangu nimemkuta kwenye jukwaa la love connect anatafuta mchumba aje kuwa mke wake! hajui kama najua ni yeye
Afadhali wewe mie wangu nimemkuta kwenye jukwaa la love connect anatafuta mchumba aje kuwa mke wake! hajui kama najua ni yeye
Ulitaka asiolewee aendeleee kutombwa bila ndoa
nimecheka km mwehu lol.Kinachokusumbua ni roho mbaya, wivu na chuki, umeona mwenzio yupo vizuri na mume aliyemuoa ni Mr. Handsome ukajiwazia ulivyokua unamnyanyasa mtoto wa watu wakati una pua kubwa kama ngumi ya baunsa, meno yameachana achana kama muhindi wa kushea, ukajitazama tena vile kikomwe kilivyochomoza kama tunda ya ubuyu dah ukazidi kujiona lofa mbele ya husband wa ex wako, kilichokunyong'onyesha zaidi roughly umeona harusi ilitumika sio chini ya Mil. 100 ukasema tooba acha nimblock tu.
Hahahahahaha
#justKidding#
Hahahhahaha.lile lidada sjawasiliana nalo mda mref aisee.nililipotezea..lilikua linaniletea mambo ya ada ya mwanae nkakimbia.stak majukum
Maneno ya mkosaji umeumia Sana, mwenzako Yuko ndoani wewe wapuyangu tu.
Mwanaume akikuacha anataka udhalilike sasa ukiwa vizuri ni maumivu juu ya maumivu
mkuu si utakua unapasha moto kiporo kwanini roho iumeAcha tu baba..acha tu baba..nmeamin kwel mwanamke unaweza usimpende kihivyo ila akakudrive crazy aisee..haya mambo ni complex asiee.
Babe wako mchokozi, nikichambwa najua utakuja kunisaidia,nimecheka km mwehu lol.
Kinachokusumbua ni roho mbaya, wivu na chuki, umeona mwenzio yupo vizuri na mume aliyemuoa ni Mr. Handsome ukajiwazia ulivyokua unamnyanyasa mtoto wa watu wakati una pua kubwa kama ngumi ya baunsa, meno yameachana achana kama muhindi wa kushea, ukajitazama tena vile kikomwe kilivyochomoza kama tunda ya ubuyu dah ukazidi kujiona lofa mbele ya husband wa ex wako, kilichokunyong'onyesha zaidi roughly umeona harusi ilitumika sio chini ya Mil. 100 ukasema tooba acha nimblock tu.
Hahahahahaha
#justKidding#
Mkuu..kuhusu swala la uhandsome..litoe tu...mi nmekua najijua handsome..naambiwa we ni mzur na wanawake..toka nakua nalijua hilo...so naomba ulitoe tu hlo swala...skutaka ongea hlo ila imenibid nikujib hvyo...sinaga shaka na hlo swala na wala sjawai liwazia .
Kwanza wangempigandoa inageuka kijiwe cha misutano
Yetu tutaitangaza bby.Vipi yakwetu bebe??
Mi naona tuitangaze mpaka bbc
Mbona story nzima inaonekana wewe ndio ulimdriveAcha tu baba..acha tu baba..nmeamin kwel mwanamke unaweza usimpende kihivyo ila akakudrive crazy aisee..haya mambo ni complex asiee.
HhhaaaKwanza wangempiga
😂😂😂😂Mkuu wewe na juma jux mnapitia kipindi kigumu sana
😂😂😂😂😂😂😂😂 Napoleone soma hiiMkuu wewe na juma jux mnapitia kipindi kigumu sana