Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 15,959
Aisee! Mpaka muda huu sielewi tatzo nini wakati si kwamba ndio GF niliempenda kihivyo. Ila tulidumu muda mrefu sana alikua ananipenda sana. Katika wanawake walionipendaga huyu alizidi.
Nilikua namfanyia mambo mengi ya ajabu ila alikua haniachi...hadi kuna siku nakumbuka alijuaga nmecheat na mtu ambae ni rival wake toka chuo huko..alinimind sanaa na ndio nahis kisa cha kuachana..
Though baada ya kugundua tulidumu zaidi for 2 yrs more...
Alikuaga anasema mimi ndio soulmate wake namimi ndio nitakuja muoa. Huyu demu nilikua namliza sana dah tumeachana muda kdogo ila tulikua tunawasiliana still.
Sasa bwana kumbe ameolewa nimeona picha..aisee..nikajiskia vibaya sana. Though kuna siku aliwahi nambia.."mbona sikuhizi sipendi kama zamani tofauti na kipindi niko na wewe" hapo tumeachana muda kumbuka.
So, kichwani nikawa najua tu huyu bado ananipenda sema ndio hivyo
Sasa jana dah, nimeona pic instagrm..kwanza picha linaanza kwenye status yake ..whatsap..sikuamini nikasema labda photoshoot tu kafanya ..heee..nikaibamba wedding instagram, asiee..nilihisi kuishiwa nguvu..ila
Nmeshamblock...aisee..nmeteseka weekend hii..daaah
Enewei
Uzi tayar
Nilikua namfanyia mambo mengi ya ajabu ila alikua haniachi...hadi kuna siku nakumbuka alijuaga nmecheat na mtu ambae ni rival wake toka chuo huko..alinimind sanaa na ndio nahis kisa cha kuachana..
Though baada ya kugundua tulidumu zaidi for 2 yrs more...
Alikuaga anasema mimi ndio soulmate wake namimi ndio nitakuja muoa. Huyu demu nilikua namliza sana dah tumeachana muda kdogo ila tulikua tunawasiliana still.
Sasa bwana kumbe ameolewa nimeona picha..aisee..nikajiskia vibaya sana. Though kuna siku aliwahi nambia.."mbona sikuhizi sipendi kama zamani tofauti na kipindi niko na wewe" hapo tumeachana muda kumbuka.
So, kichwani nikawa najua tu huyu bado ananipenda sema ndio hivyo
Sasa jana dah, nimeona pic instagrm..kwanza picha linaanza kwenye status yake ..whatsap..sikuamini nikasema labda photoshoot tu kafanya ..heee..nikaibamba wedding instagram, asiee..nilihisi kuishiwa nguvu..ila
Nmeshamblock...aisee..nmeteseka weekend hii..daaah
Enewei
Uzi tayar