py thon
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 2,471
- 4,424
Klabu ya wydad Casablanca ya nchini Morocco ligi ambayo Simon Msuva anacheza wabeibuka mabingwa wa klabu bingwa Africa "CAF" kwa kuwanyuka Al ahly goli moja kwa sifuri na hivyo kufanya aggregate kuwa 2-1 kwakuwa ugenini walitoka sare ya 1-1 ,fainali ya CAF huchezwa mara mbiri home na away
Nb:Msimu ujao Yanga mtuwakilishe vizuri
Nb:Msimu ujao Yanga mtuwakilishe vizuri