Fede Masolwa
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 528
- 123
The wwe superstar (mieleka) wa mwaka huu ni daniel bryan, ndio katangazwa sasa, kweli jamaa anafaha sana (waliopambana naye ni bigshow, john sena, rko, cm punk)
SOURCE: etv
SOURCE: etv
ilikua bonge la mech na iliwaingizia pay kubwa sana,zaid ya dola mil 12 na mashabk zaid ya elf 80.
me do love wrestling sana
The wwe superstar (mieleka) wa mwaka huu ni daniel bryan, ndio katangazwa sasa, kweli jamaa anafaha sana (waliopambana naye ni bigshow, john sena, rko, cm punk) SOURCE: etv sasa.
hivi hawa Etv
kuna siku huwa wanaonyesha Live?
Maana mara nyingi huwa wanonyesha marudio tu!
Daa..! Mie roho inaniuma kwa nn hajachukua my favourate Randy Orton.
Duh Daniel amewashinda akina John Cena, CM Punk, Big Show, nk. Wh
Jamani Ray Misterious yupo wapi siku hizi? The Animal naye simuoni wala akina Resna. Hao wote wapo wapi?
Duh Daniel amewashinda akina John Cena, CM Punk, Big Show, nk. Wh
Jamani Ray Misterious yupo wapi siku hizi? The Animal naye simuoni wala akina Resna. Hao wote wapo wapi?
Tarehe 20 ya mwezi ujao the Animal atatambulishwa tena...
Nyie vp muwe mnadownload bana huyo Daniel bryn katangazwa tangu Nov mwishoni wenzenu kila j4 tunaona raw ya jana na smackdwn tunaona siku hy hy Friday tena kwa simu cheki 02tvseries.com
The wwe superstar (mieleka) wa mwaka huu ni daniel bryan, ndio katangazwa sasa, kweli jamaa anafaha sana (waliopambana naye ni bigshow, john sena, rko, cm punk) SOURCE: etv sasa.
Nyie vp muwe mnadownload bana huyo Daniel bryn katangazwa tangu Nov mwishoni wenzenu kila j4 tunaona raw ya jana na smackdwn tunaona siku hy hy Friday tena kwa simu cheki 02tvseries.com