WW3: Diamond Platnumz Vs Diva

hili dada nipunga kweli , wamemchukua konde ili wamshinde domo bt bado anawaburuza tu.....
sasa walichobakiza nikubwabwaja tu kama mazezeta
 
Pound 25k ni mshahara wa mwaka mzima England. Tena hiyo unafakazi 40 hours a week.
Mbona pesa ndogo....unafanya kazi gani na unalipwa shingapi kwa week/mwezi?

Nieleweke nimeandika ndogo kulinganisha na gharama za maisha.
 
Mbona pesa ndogo....unafanya kazi gani na unalipwa shingapi kwa week/mwezi?

Nieleweke nimeandika ndogo kulinganisha na gharama za maisha.


Ndio maisha ya kibepari mkuu, hapo unapiga box 40 hours a week ukishakatwa kodi ndio unapewa paundi 2100 kwa mwezi. Sasa akili kichwani, inabidi upige overtime za kufa mtu ikiwezekana uchapike hata Saturday mbili kwa mwezi. Vilevile ikiwezekana muwe wawili ili msaidiane kulipa nyumba. Pesa ndogo lakini kama una malengo inatosha kufanya mambo
 
Wasanii kuongopa ni jadi yao mbona kwa sisi tunaokaa nao mitaani tunawajua ful maisha yao mbona we cha msingi msanii akikwambia kafanya jambo flani we jiongeze tu akili yako kwa sababu Mond kuongopa tumeshamzoea ila kwa sababu haituathiri kwa namna moja sio mbaya
Ni ukweli analipwa hivyo...ukisoma hiyo email utaona hiyo ni bargain coz alikuwa uk so promoter alimbeba juu kwa juu so cost inapungua..hata wasanii wa mbele mara nyingi deals za hivi huwa wanazikubali..by the way pound alizoonwsha Diva hapo ni almost 75millions za madafu,ni ndogo?
 
Ni ukweli analipwa hivyo...ukisoma hiyo email utaona hiyo ni bargain coz alikuwa uk so promoter alimbeba juu kwa juu so cost inapungua..hata wasanii wa mbele mara nyingi deals za hivi huwa wanazikubali..by the way pound alizoonwsha Diva hapo ni almost 75millions za madafu,ni ndogo?
Sasa ndugu yangu unataka kusema kuwa hiyo anayosema diva ni ndogo au unataka kusemaje kuwa Mond alilipwa zaidi ya hiyo inawezekana ww wasanij huwajui au Mond humjui vizuri sie wengine tulishakubali kulishwa matango pori madhari hayatudhuru ndio mana hatutaki kumkosoa kwa sababu haina faida kwetu
 
Kumvumilia mtu kama Diva unatakiwa sijui uwe na moyo wa aina gani manake, wakati Diva huwa anamuandama Diamond mwaka hadi mwaka, ni nadra sana ukute Diamond kamjibu! Kwa kumbukumbu zangu, ingawaje back in the days mara kwa mara Diva alikuwa anamshambulia Diamond Instagram, Diamond kwa upande wake alimpa kubwa mara moja tu tena studio za Mawingu alipomwambia live kwamba ni hadi "nikukaze"! Tena ile siku ni B12 ndie alianzisha baada ya kumuuliza Diva kwani ana tatizo gani na Diamond!!

Hii ya sasa kwa Diamond sijafuatilia lakini kama kamjibu, basi itakuwa ni mara ya pili! Sasa uliza ni mara ngapi Diva amekuwa akimwandama Diamond! Na hii ya sasa Diva alifika mbali zaidi kwa kuingilia hadi mahusiano ya Diamond!!!

Chifu, ni rahisi sana kwako kusema hivyo but trust me kwa mtu kama Diva labda uwe na moyo wa Yesu ndo utaweza kumvumilia kwa 100%! Ajabu ni kwamba, sijui tatizo lake ni nini!! Yule ingekuwa ndo wengine, dawa yake unamweka mtu kati, unamlamba makofi barabara halafu unamwambia aende polisi.
Kwa mfano Dudubaya kila akiamka huwa anawasema clouds au B12 lakin hakuna siku utasikia wamemjibu maana wanajua ukibishana na mtu ambae unajua mko level tofauti utadhalilika so Diamond atulie tu kama vile haoni hadi atakapochoka mwenyewe
 
Kumvumilia mtu kama Diva unatakiwa sijui uwe na moyo wa aina gani manake, wakati Diva huwa anamuandama Diamond mwaka hadi mwaka, ni nadra sana ukute Diamond kamjibu! Kwa kumbukumbu zangu, ingawaje back in the days mara kwa mara Diva alikuwa anamshambulia Diamond Instagram, Diamond kwa upande wake alimpa kubwa mara moja tu tena studio za Mawingu alipomwambia live kwamba ni hadi "nikukaze"! Tena ile siku ni B12 ndie alianzisha baada ya kumuuliza Diva kwani ana tatizo gani na Diamond!!

Hii ya sasa kwa Diamond sijafuatilia lakini kama kamjibu, basi itakuwa ni mara ya pili! Sasa uliza ni mara ngapi Diva amekuwa akimwandama Diamond! Na hii ya sasa Diva alifika mbali zaidi kwa kuingilia hadi mahusiano ya Diamond!!!

Chifu, ni rahisi sana kwako kusema hivyo but trust me kwa mtu kama Diva labda uwe na moyo wa Yesu ndo utaweza kumvumilia kwa 100%! Ajabu ni kwamba, sijui tatizo lake ni nini!! Yule ingekuwa ndo wengine, dawa yake unamweka mtu kati, unamlamba makofi barabara halafu unamwambia aende polisi.
mkuu kiukwel dai kazingua Tena sana moja ya bad move alizowaifanya dai ni kuropoka na kumuongelea uyo bitch Sasa uko Instagram demu muda wote anatuma makombola dai nae asivyo sivyo na akil timamu atamjibu kama alivyo jirekodi anaimba wimbo wa alikiba wakat ashaambiwa UNIKOME lakn bado anajipendekeza Kuna muda jamaa anaboa kinouma
 
Kwa mfano Dudubaya kila akiamka huwa anawasema clouds au B12 lakin hakuna siku utasikia wamemjibu maana wanajua ukibishana na mtu ambae unajua mko level tofauti utadhalilika so Diamond atulie tu kama vile haoni hadi atakapochoka mwenyewe
mkuu umeongea bonge LA point Sema dai sijui kama anaweza vumilia maana kasha jirekodi anaimba wimbo wa alikiba wakat ashaambiwa UNIKOME
 
Wasanii kuongopa ni jadi yao mbona kwa sisi tunaokaa nao mitaani tunawajua ful maisha yao mbona we cha msingi msanii akikwambia kafanya jambo flani we jiongeze tu akili yako kwa sababu Mond kuongopa tumeshamzoea ila kwa sababu haituathiri kwa namna moja sio mbaya
hahahaaaaa unakaa na akina manfongo unasema unakaa na wawasanii
 
Nadhani umeninukuu vibaya na sioni kama nimemanisha brand ni uongo ila nimemanisha kila mtu anajua jinsi ya kujionyesha yy ni wa thamani iwe kiuongo au kiukweli
Unachosema ni sawa,nachotaka kusema ni kwamba BRAND is based on all lies.

Dont trust what celebrity says......are all lies!
 
Back
Top Bottom