WOW!! TTCL they made it


Namuunga mkono thinkpad 100% Ukiangalia kwa umakini ni hivi Zantel 10GB ni Tsh 270,000/= yaani hiyo ni 27sh kwa 1MB
alafu speed ni kubwa kuliko ya mitandao yoote iliyo TZ yaani vodacom, TTCL, Sasatel, Zain, tiGO, Tritel, BOL hili halina ubishi.

Kingine kuhusu 3G kuwa expensive duniani zantel sio 3G voda na zain ndio 3G zantel wana system ambayo mitandao yoote nchini hawana hivyo Zantel wako vyema na hawaitaji faida kubwa kulinganisha na mitandao mingine nyonyaji ambayo tulipaswa kuisusia kwa umoja mpaka pale watakapoona kuwa sivyema kutengeneza faida kubwa.
Kaka hapa umedanganya umma. Ingawa ni kweli kwamba Zantel hawatumii 3G kama Voda na Zain, bado ni kweli kwamba Zantel na Ttcl wanatumia system moja. Kwa kuwaengua TTCL hapo hujawatendea haki. Fuatilia kama nasema uongo!
Na hivyo basi kama hiyo Zantel wanatumia tekelinalokujia la kisasa basi na TTCL nao pia wapo juu!
 
Ni bahati mbaya sana kufikiri kuwa watu wananunua huduma kwa kuangalia BEI tu. Kuna vitu vingi vinaangaliwa na finally mteja huamua mwenyewe. Kama una ubia na Zantel au kama wewe ni mteja wa Zantel kwa nini unatumia muda mwingi kushambulia TTCL bila kuangalia ukweli halisi?

TTCL hawatumii EVDO peke yake na wanayo TTCL Broadband ya kwenye waya ambayo 4GB huuzwa 100,000.00 Linganisha na hiyo Zantel yako ya 5GB kwa laki na thelathini!!

Wale tunaotumia internet mara kwa mara si mara moja kwa wiki tunajua. Besides makampuni si Zantel na TTCL peke yao. Kuna Makampuni mengine kibao tu!!
 
Ni kweli kabisa mkuu... nataka sana kuchukua Zantel, tatizo linakuja kwenye coverage... kule kimanzichana, kibwegere, amani beach, kisota nk. ntapata reception?? Nilijaribu kuuliza wale jamaa wakasema ngoja wacheki lakini naona kimya

ila nimeumia sana mkuu na Voda, namshukuru sana ThinkPad maana huwa anatukumbusha sana kuhusu haya mambo

Ni kweli, tatizo la Zantel ni coverage. Hapo tu Kibamba na Kiluvya haikamati (labda huku barabarani) yaani inabidi watu waumie na mitandao mingine yenye gharama kubwa
 
Nimecheki router yangu nimetumia 100 GB (Up+Down) kwa mwezi huu tayari!
Na hapa nimepunguza sana maswala ya Torrents/Newsgroups, mtandao ukiwa wa maana ni kitu powerful sana jamani! Kwa bei za bongo nadhani ningefilisika.
TTCL inabidi wakaze buti kwenye kueneza hiyo wired broadband.
 
I totally agree with you. TTCL will just have to come up with a more competitive package. I started with TTCL and then switched on to ZANTEL with EC226. The diference in terms of speed and cost is plain.
 
zantel its 120Tsh per MB so its cheap, TTCL they should be a little bit smart, to take a customer from its current supplier you need to come with a package a bit lower and with zantel that 120Tsh per MB is if your not on special package, the special package you get 200MB for 10,000Tshs or 1GB for 40,000Tshs! i think TTCL had their work cut out themselves, i wont leave my zantel until i get cheaper than that!
 
Nyie manazi wa Zantel acheni kupotosha watu. Zantel ni kama Clouds FM. Huwezi kulinganisha na redio inayosikika nchi nzima.

With holistic approach, TTCL is the only internet provider that is cheap.
 
Binadamu wengine wabishi sana,
Sijui wanamatatizo gani unajua kuyatetea haya makampuni yanayo nyonya wananchi mimi naona ni sawa na kufumbatia maji.

Mimi nina modem ya Zantel, TTCL na Vodacom nimezitumia zote na ninajua machungu ya modem zote.

TTCL niliwasifia kitu kimoja tu! kuanzisha hiyo huduma ya CDMA kwakuuza EVDO kwa bei ya chini sasa basi nikapitia website zao kuangalia gharama zao ttcl kuuza MB1 kwa shiling 160 sio haki hata kidogo ukizingatia ma fiber optic yapo manyenzo yapo hii sio haki wao kama kampuni kubwa walipaswa kuwa chini gharama zao kuliko makampuni mengi au yote.
 
Nyie manazi wa Zantel acheni kupotosha watu. Zantel ni kama Clouds FM. Huwezi kulinganisha na redio inayosikika nchi nzima.

With holistic approach, TTCL is the only internet provider that is cheap.


Kuna watu humu kazi yao ni kuleta ubishi tu!! haya fungua hiyo link ya TTCL kisha ndio uongee nasiokuongea tu ilimradi unaweza kuongea

click hapa: http://www.ttcl.co.tz/EVDO.asp

kisha fungua hii ya Zantel hapa:http://www.zantel.co.tz/cdma.html

maana watu wengine huwa ni wagumu kuelewa na kwa hili usipo nielewa basi hautaelewa kamwe.
 
zantel its 120Tsh per MB so its cheap, TTCL they should be a little bit smart, to take a customer from its current supplier you need to come with a package a bit lower and with zantel that 120Tsh per MB is if your not on special package, the special package you get 200MB for 10,000Tshs or 1GB for 40,000Tshs! i think TTCL had their work cut out themselves, i wont leave my zantel until i get cheaper than that!
Nakushangaa sana mkuu maana mimi napata ttcl broadband package ya 1GB kwa 30,000= sasa who is cheaper?
 
Nakushangaa sana mkuu maana mimi napata ttcl broadband package ya 1GB kwa 30,000= sasa who is cheaper?


Sasa mkuu tuamini maneno yako au tuamini kilekinachosemwa na TTCL wenyewe? Link hizo hapo chini Fungua uone kisha ubishe maana hauwezi kusema ttcl cheaper wakati gharama zao ziko juu na ushaahidi ni ktk website yao kwanini utetee TTCL wakati wao wanaweza kujitetea kwakushusha bei?

Kuna watu humu kazi yao ni kuleta ubishi tu!! haya fungua hiyo link ya TTCL kisha ndio uongee nasiokuongea tu ilimradi unaweza kuongea

click hapa: http://www.ttcl.co.tz/EVDO.asp

kisha fungua hii ya Zantel hapa:http://www.zantel.co.tz/cdma.html

maana watu wengine huwa ni wagumu kuelewa na kwa hili usipo nielewa basi hautaelewa kamwe.

Fungua hizo link kisha linganisha bei zao zote tukiacha speed maana speed ya Zantel iko juu linganisha bei tu!
 
Sasa mkuu tuamini maneno yako au tuamini kilekinachosemwa na TTCL wenyewe? Link hizo hapo chini Fungua uone kisha ubishe maana hauwezi kusema ttcl cheaper wakati gharama zao ziko juu na ushaahidi ni ktk website yao kwanini utetee TTCL wakati wao wanaweza kujitetea kwakushusha bei?



Fungua hizo link kisha linganisha bei zao zote tukiacha speed maana speed ya Zantel iko juu linganisha bei tu!

Nadhani jamaa anaongelea Fixed Line Broadband ya TTC, ni nafuu zaidi lakini ndo hivyo haina convenience ya Wireless.
 
Hizi internet services katika nchi yetu naona bado ni matatizo tu, nadhani bado inaonekana kama ni luxury item tu, huwezi uka afford kutumia internet kwa ajili ya utafiti wa vitu mbalimbali na kujielimisha (browsing & downloading) kwa convenience, bei au speed ndogo ya internet itakuangusha tu.

Majuzi Zain wameleta offer nzuri sana kwa bundle kama DATAWIKI = 3gb kwa 15,000 = tsh 5 kwa mb. imekuwa afadhali sana, lakini speed yake ni ndogo, ukilinganisha na zantel pia haina convenience kuitumia kwa kuangalia video streaming websites kama youtube, video zinakatakata kwa ajili ya speed ndogo.

Na kwa hivi sasa watu wengi duniani wanapata taarifa na maarifa mbalimbali kwa kujielimisha kwa hizi internet video streaming programs, hapa sisi tunashindwa kabisa, tunakwamishwa na bei au na pia kasi ya mtandao.

Zantel wana speed kubwa na na stable, kwa matangazo ya ki ushindani inaonyesha wana bei nzuri, lakini ki ukweli katika matumizi huru ya internet bei yao pia ni kubwa. minimum yao ni tsh 24 kwa mb katika bundle ya 250mb z-small. kwa matumizi ya kujielimisha natumia zaidi ya shilingi elf kumi kwa siku. hii sio affordable kwa watumiaji wengi.

Nafikiri wanaofurahia internet services hapa nchini ni wale wanaotumia kwa kujibu e-mail tu, au wanaotumia ku browse katika specific websites kwa kazi zao maalum, eg wanaotumia alibaba.com au amazon.com kwa specific short time online shopping activities. Kwao hizi bundle limits na low speed haziwakwamishi sana.

Kwa maoni mi naona , kama kweli tunataka kufaidika na maendeleo haya ya mtandao, basi lazima hii namna ya gharama na speed limits iangaliwe upya,

nafkiri gharama lazima ziwe na muelekeo wa unlimited data capacity, of high speed, kwa muda maalum eg mwezi, kwa around 25 us dollar. Au kama kunawekwa capacity limit basi iwe juu zaidi ya 15gb. hii ni kama kweli tunataka watu wetu hasa vijana walioko katika elimu mbalimbali wafaidike na teknolojia hii mpya kwa maana ya kutumia most of its potentials affordably, ama sivyo tanataka tu kuwafaidisha madalali wa kimataifa wasioshiba kujifanya wanawezesha, kumbe wana tutumia sisi desperate citizens kama mtaji wao. Wanacheza TRICKS.

Kwa sasa watu wanazuia (disable) hata computer zao zisipate free updates za windows(operating systems), antivirus programs au kupata software mbalimbali za bure, au kudownload free new beta testing software. kwa kuogopa expensive internet bandwith zinavyolika au na pia its low speed. Huku sasa siyo kufaidika na maendeleo mapya. Huku ni kushuhudia jinsi tunavyobaki nyuma katika maendeleo mapya duniani na tusijue la kufanya.

Mambo haya yanahitaji mabadiliko, ama sivyo tunajiandaa kuwa tegemezi wa wataalam wa baadae. Wakati tunaizuia njia hii mpya ya kuwapatia na kuwashirikisha wataalam wetu elimu na maarifa mapya kwa Kisingizio cha biashbara, malipo yake yatakuwa makubwa sana kwa siku za baadae.

Iachiani teknolojia ya internet iwafikie watanzania katika potentials zake zote wala isiminywe na iwe nafuu maana inawezekana, hii atakuwa chachu au changamoto ya vijana na watanzania wote kushiriki kikamilifu katika dunia mpya ya utandawazi. ama sivyo tutazembea kwa kisingizio cha kutowezeshwa kimawasiliano ya habari, kisha kuwa Mategemezi na pia Watumwa wa maarifa.
 
The Following User Says Thank You to NDANGASARE For This Useful Post:
Masika (Today)
 
zantel ni wazuri ila tatizo lao lipo kwenye coverage. kwa mfano hapa iringa maeneo kama mkimbizi huwezi kutumia huduma hiyo, wala mafinga hakuna access ya zantel, ila price ni poa.
 
Mkuu MTM, si bora ukachukua hata Zantel 3GB kwa Tshs 86,000/= kuliko hiyo 2GB kwa 100,000/=? Anyway, isijekuwa nawaharibia watu biashara. Kupanga ni kuchagua! Zantel 10GB ni 270,000/= (Post paid) na hapo maanake unakuwa unalipia 27/= per MB.

Think of it bro!

Postpaid ni kwa large corporations. Sisi wajasiriamali hatukubaliwi, labda wawe wamebadilisha sera yao.
 
Asanteni kwa kuhabarishana kuhusu hizo gharama za data charges za TTCL na Zantel. Hongereni mnaoishi mijini lakini kwetu tunaoishi vijijini tuandike maumivu. Mimi nafanya kazi kwenye mashirika ya UN yanayohudumia wakimbizi huku Kigoma yaani Kambi ya Nyarugusu ambako Tigo ni ya manati, Voda ya kubabaisha, Zantel ni kama Voda ila kwa sababu wanatumia portal ya Vodacom hawatoi huduma za mtandao kwa mkoa huu. Ila nina bahati moja kubwa hapa ninapofanyiakazi na kuishi ni karibu na mnara wa Zain uliopo kijiji cha Makere kwa hiyo ndiyo tandao wenye nguvu. Ninazomodem mbili yaani ya Voda na Zain ila nimeshindwa kabisa kuiumia ya Voda kutokana na signals kuwa very weak.
Kwangu mimi the cheapest network as far as data packages are concerned is Zain. Wao wana package ya MB 400 kwa Tsh 2,500/= kwa mwezi ambayo unaweza kui- "refresh" kila inapoisha. Je hamwoni hiyo ndiyo the cheapest of all. Kuhusu speed mi naona haina shida maana naitumia kubrowse kila siku na muda wote, kusikiliza Radio Maria, BBC, VOA bila shida na hata ku "chat" . Ila nimevutiwa sana na experience ya wenzangu juu ya speed ya Zantel na TTCL. nawasihi Zantel waukumbuke pia mkoa huu wa Kigoma unaoonekana kusahaulika katika kila nyanja. Kuhusu gharama za data za Vodacom ziko juu mno tofauti kabisa na wenzao Zain. Nawashauri wafikirie kupunguza data charges zilingane na za wenzao wa Zain maana hata jamaa zangu wanaoishi Kasulu na Kibondo mjini (Wilayani) na maeneo yaliyo karibu na minara yao lakini wameamua kubadilisha na sasa wanatumia hii ya Zain.

 
Asanteni kwa kuhabarishana kuhusu hizo gharama za data charges za TTCL na Zantel. Hongereni mnaoishi mijini lakini kwetu tunaoishi vijijini tuandike maumivu. Mimi nafanya kazi kwenye mashirika ya UN yanayohudumia wakimbizi huku Kigoma yaani Kambi ya Nyarugusu ambako Tigo ni ya manati, Voda ya kubabaisha, Zantel ni kama Voda ila kwa sababu wanatumia portal ya Vodacom hawatoi huduma za mtandao kwa mkoa huu. Ila nina bahati moja kubwa hapa ninapofanyiakazi na kuishi ni karibu na mnara wa Zain uliopo kijiji cha Makere kwa hiyo ndiyo tandao wenye nguvu. Ninazomodem mbili yaani ya Voda na Zain ila nimeshindwa kabisa kuiumia ya Voda kutokana na signals kuwa very weak.
Kwangu mimi the cheapest network as far as data packages are concerned is Zain. Wao wana package ya MB 400 kwa Tsh 2,500/= kwa mwezi ambayo unaweza kui- "refresh" kila inapoisha. Je hamwoni hiyo ndiyo the cheapest of all. Kuhusu speed mi naona haina shida maana naitumia kubrowse kila siku na muda wote, kusikiliza Radio Maria, BBC, VOA bila shida na hata ku "chat" . Ila nimevutiwa sana na experience ya wenzangu juu ya speed ya Zantel na TTCL. nawasihi Zantel waukumbuke pia mkoa huu wa Kigoma unaoonekana kusahaulika katika kila nyanja. Kuhusu gharama za data za Vodacom ziko juu mno tofauti kabisa na wenzao Zain. Nawashauri wafikirie kupunguza data charges zilingane na za wenzao wa Zain maana hata jamaa zangu wanaoishi Kasulu na Kibondo mjini (Wilayani) na maeneo yaliyo karibu na minara yao lakini wameamua kubadilisha na sasa wanatumia hii ya Zain.

nikweli!, lakini speed yao ni kichef-chef, jaribu Zantel mkuu utafurahi.
 
Just an update:
Mobile (broadband) internet charges: (kwa zile ninazotumia)

Zantel 250MB kwa shillingi 6000 (kwa siku)
Zantel 250MB kwa shiling 10,000 (kwa wiki)
Zantel 2GB kwa shilingi 10,000 (kwa wiki)
Zantel 2GB kwa shilingi 35,000 (kwa mwezi)
Vodacom 15Mb kwa shilingi 500 (kwa siku)


TTCL: No time for small scale users! Hence no small bundle packages.

Of course matumizi yanategemea mahitaji, huwa nanunua package ya 2GB ya wiki (10,000) ijumaa jioni, wikiendi naangalia bundesliga, premier league na la liga kwa raha zangu.
 
Back
Top Bottom