WOW!! TTCL they made it

ThinkPad

JF-Expert Member
Apr 11, 2008
1,844
230
Ongera sana TTCL kwa kuleta EV-DO, Lakini cha kusikitisha ni gharama zenu maana nyinyi mlidai mmejiunga na mkonga,

TTCL mobile internet tariffs

You get charged based on data consumption (uploads and downloads). One Megabyte is used as unit although charging is actually done in Kilobytes (smaller unit).

newnew.gif
Charging is by Flow (MB) and the Price is Tshs 160.00 per MB for both basic mobile data and mobile Broadband.

NOTE:
One megabyte can surf up to 20 web-pages; send/receive up to one hundred e-mails; Up to one hour of web-chatting. hii ni kweli !!!!!????

TTCL 2 GB bundle is 100,000/=

ZANTEL THEY CHARGE 5GB FOR ONLY 130,000/=
NA SPEED YAO NI KUBWA KULIKO TTCL nadhani ndio inaongoza kwa speed nzuri.

1MB FOR 50 Tsh. up to 1MB FOR 27 TSH

Kama ni mimi nashauri watu watumie Zantel maana gharama zao ni ndogo sana ukilinganisha na mitandao mingine na speed yao ni kubwa kulinganisha na Voda, Buzz, Celtel, Sasatel na TTCL yenyewe BBL standard.

Unachotakiwa ili ufaidi zantel nunua Modem EC 226 utaikubali mwenyewe,

Hiyo modem unauwezo wakufunga hata Computer 30 na bado ukapata speed ya kufa mtu.

TTCL inabidi wapunguze gharama zao kama Zantel,

Kuongea haya yote ninayo modem ya Zantel,TTCL ev-do na Vodaphone hivyo nimelinganisha speed na gharama nikakuta bado na shawishika kutumia Zantel,
TTCL nimeiweka Kando kama kunamtu anaitaji Naiuza kwa punguzo la 20% nimeitumia siku 4 tu!

Ila siku TTCL wakigundua kuwa gharama zao ziko juu wakipunguza Ntajiunga nao kwasasa Hongera lakini kwaheri.
 
go for ZANTEL man they charge 120 Tshs per 1MB

50 per 1MB brother,

Inabidi jamii yetu igundue hii kitu maana tukinyamanza ndugu zetu wanaumizwa gharama hizo ni kubwa sana, Ukizingatia watu wengi hawajui na Zantel wamelala wanapitwa hata na sasatel wakati sasatel haifui daff kwa Zantel.

Bravo Zantel
 
50 per 1MB brother,

Inabidi jamii yetu igundue hii kitu maana tukinyamanza ndugu zetu wanaumizwa gharama hizo ni kubwa sana, Ukizingatia watu wengi hawajui na Zantel wamelala wanapitwa hata na sasatel wakati sasatel haifui daff kwa Zantel.

Bravo Zantel

jamani zantel ni super nyie watu!!!! nawapongeza sana zantel huduma ni bomba na rahisi!!!
 
TTCL mobile internet tariffs
You get charged based on data consumption (uploads and downloads). One Megabyte is used as unit although charging is actually done in Kilobytes (smaller unit).

newnew.gif
Charging is by Flow (MB) and the Price is Tshs 160.00 per MB for both basic mobile data and mobile Broadband.

NOTE:
One megabyte can surf up to 20 web-pages; send/receive up to one hundred e-mails; Up to one hour of web-chatting. hii ni kweli !!!!!????

2 GB budle is 100,000

mzee,

vipi performance yao? maana akina kimanzichana, kibwegere, charambe, mwongozo, fukayose nk. au kule amani kisiwani?
 
mzee,

vipi performance yao? maana akina kimanzichana, kibwegere, charambe, mwongozo, fukayose nk. au kule amani kisiwani?
Mkuu MTM, si bora ukachukua hata Zantel 3GB kwa Tshs 86,000/= kuliko hiyo 2GB kwa 100,000/=? Anyway, isijekuwa nawaharibia watu biashara. Kupanga ni kuchagua! Zantel 10GB ni 270,000/= (Post paid) na hapo maanake unakuwa unalipia 27/= per MB.

Think of it bro!
 
Mkuu MTM, si bora ukachukua hata Zantel 3GB kwa Tshs 86,000/= kuliko hiyo 2GB kwa 100,000/=? Anyway, isijekuwa nawaharibia watu biashara. Kupanga ni kuchagua! Zantel 10GB ni 270,000/= (Post paid) na hapo maanake unakuwa unalipia 27/= per MB.

Think of it bro!

Ni kweli kabisa mkuu... nataka sana kuchukua Zantel, tatizo linakuja kwenye coverage... kule kimanzichana, kibwegere, amani beach, kisota nk. ntapata reception?? Nilijaribu kuuliza wale jamaa wakasema ngoja wacheki lakini naona kimya

ila nimeumia sana mkuu na Voda, namshukuru sana ThinkPad maana huwa anatukumbusha sana kuhusu haya mambo
 
Mkuu MTM, si bora ukachukua hata Zantel 3GB kwa Tshs 86,000/= kuliko hiyo 2GB kwa 100,000/=? Anyway, isijekuwa nawaharibia watu biashara. Kupanga ni kuchagua! Zantel 10GB ni 270,000/= (Post paid) na hapo maanake unakuwa unalipia 27/= per MB.

Think of it bro!


Mkulu hakuna cha kuharibia watu biashara Kinachotakiwa ni useme ukweli hata kama punda afe na afe ila mzigo ufike,
Watu wanaliwa pesa wakati Zantel inatoa Bandwidth kubwa tena na kwa bei chee.
Me ntalaumu sana watu wanaojua ISP ambaye ni mzuri na gharama ndogo na huyo mtu akakaa kimya bila kuwaambia wenzake nao wafaidi kama yeye anavyofaidi.

Please tujulishane jamani vitu vizuri, maana mpaka sasa kunawatu wanaonakutumia internent kuwa ni Khanasa wakati ni kitu cha kawaida tu katika maisha ya siku zote na inatuwezesha kupata information
 
jamani zantel ni super nyie watu!!!! nawapongeza sana zantel huduma ni bomba na rahisi!!!


Kweli Zantel ni supper ila watu wengi hawafahamu hilo, inabidi tuwajulishe jamaa na marafiki
 
Kweli Zantel ni supper ila watu wengi hawafahamu hilo, inabidi tuwajulishe jamaa na marafiki

ThinkPad upo g.yuuuu kama IBM vile....hahahahh

naenda kuiweka sokoni datacard yangu ya voda leo....

kumbe zantel wapo cheap hivyo? hawa jamaa nilisikia wanaspace

kwenye satellite vipi wanaitumia hiyo kwenye voice tu au hadi internet??

NOTE:

kuna kampuni inaanza kuoperate soon inaitwa talktell ni ya wamerekani

hii kampuni inakuja kuua soko la dstv, internet, voice kila kitu yani.

kwanza ni wanasatellite yao wenyewe so coverage is not unissue

watakua wanauza ki antena flani hivi ambacho kinacost kama elfu 30,

sasa kutokana na speed ya internet yao utakua unauwezo wa kuchek

mechi online, so wale MABEPARI wa dstv huu ni wakati wenu KUFULIA

mmetuibia vya kutosha sana. so my people dont wory about hizi charges

za simu, watazishusha wenyewe. ukiachilia talkTELL kuna jingine nalo

linakuja, hili limeinunua ile BOL...na ZAIN nayo ishanunuliwa na ORANGE

so wory out my people we r going to enjoy this services....
 
Taarifa ni kitu cha msingi sana binadamu kuwa nacho kwa wakati. Mtoa mada amesaidia sana kutuweka macho kuhusu huduma za Data ila hakuwa fair au kwa bahati mbaya au kwa makusudi. Alipaswa kusema kwamba huduma alizosema kuhusu TTCL ni za mobile internet pekee na sio huduma za internet kwa ujumla wake. Mimi ni mteja wa TTCL broadband, huduma hii inapatikana mahali ambapo TTCL landline zinafika (Mijini) na tariff zake ni hizi:


New BroadBand Package Tarriffs effective from 1st October 2009

Package Size
Price per month (Tshs)(VAT inclusive)
Time
Broadband -1GB
30,000
Per Month
Broadband – 2GB
60,000
Per Month
Broadband – 4GB
100,000
Per Month
Broadband – 10GB
200,000
Per Month
Broadband – 20GB
360,000
Per Month
Broadband –40GB
450,000
Per Month
Broadband – 100GB
1,000,000
Per Month

Hivyo alichosema kuhusu 1mb kwa Tshs.160 ni sawa lakini hii ni kwa Mobile internet na sio broadband. Wheather is cheap or expensive you can see the real tariff above.

Nawasilisha mkereketwa wa kampuni za kizalendo.
 
Bravo ttcl

Bravo ya nini ikiwa bei zao ni za juu?

Huu ni wakati wa ushindani na kabla sijajiunga na intenet yoyote naangalia gharama zake. Ikiwa bei za TTCL ni za juu, nitaendelea kutumia Zantel

They need to be aware ya kwamba sasa tumesoma, tunaangalia costs first, brand loyality second.
 
New BroadBand Package Tarriffs effective from 1st October 2009



Package Size


Price per month (Tshs)(VAT inclusive)


Time


Broadband -1GB


30,000


Per Month


Broadband – 2GB


60,000


Per Month


Broadband – 4GB


100,000


Per Month


Broadband – 10GB


200,000


Per Month


Broadband – 20GB


360,000


Per Month


Broadband –40GB


450,000


Per Month


Broadband – 100GB


1,000,000


Per Month



Hivyo alichosema kuhusu 1mb kwa Tshs.160 ni sawa lakini hii ni kwa Mobile internet na sio broadband. Wheather is cheap or expensive you can see the real tariff above.

Nawasilisha mkereketwa wa kampuni za kizalendo.

Kuna kitu mie sielewi, naomba kuelimishwa maana ya 'per month'. Ina maana nikinunua, mfano, 100GB kwa hiyo 1m, mpaka mwisho wa mwezi nikawa nimetumia 60GB, zilizobaki 40GB zinafutwa?!
 
Ni kweli kabisa mkuu... nataka sana kuchukua Zantel, tatizo linakuja kwenye coverage... kule kimanzichana, kibwegere, amani beach, kisota nk. ntapata reception?? Nilijaribu kuuliza wale jamaa wakasema ngoja wacheki lakini naona kimya

ila nimeumia sana mkuu na Voda, namshukuru sana ThinkPad maana huwa anatukumbusha sana kuhusu haya mambo

Naungana na wewe mkuu MTM, coverage ya hiyo Zantel ikoje?! Mie natumia Voda, na mara nyingi natumia kwenye Laptop nikiwa safari za huko mikoani. Sasa hiyo Zantel utapata connectivity ukiwa huko ndani ndani?! Kama uko stationary miji mikubwa, kama Dar vile, una choice kubwa sana.
 
Kuna kitu mie sielewi, naomba kuelimishwa maana ya 'per month'. Ina maana nikinunua, mfano, 100GB kwa hiyo 1m, mpaka mwisho wa mwezi nikawa nimetumia 60GB, zilizobaki 40GB zinafutwa?!
Hiyo ndiyo maana yake mkuu, lakini binafsi sioni sababu ya wewe kuchukua 100GB wakati matumizi yako hayakufikishi huko. Hili ni suala la bajeti kwamba nitatumia kiasi gani kutokana na uzoefu wa mahitaji, ndio maana kuna package tofauti kwa watumiaji tofauti. Huwezi kwa mfano kuchukua 1GB kwa matumizi ya nyumbani badala yake utachukua 1GB ambayo ni 30,000 na kama matumizi yako ni ya chini ya hapo kuna huduma ambayo utatumia badala yake. Nadhani nitakuwa nimekujibu.
 
Taarifa ni kitu cha msingi sana binadamu kuwa nacho kwa wakati. Mtoa mada amesaidia sana kutuweka macho kuhusu huduma za Data ila hakuwa fair au kwa bahati mbaya au kwa makusudi. Alipaswa kusema kwamba huduma alizosema kuhusu TTCL ni za mobile internet pekee na sio huduma za internet kwa ujumla wake. Mimi ni mteja wa TTCL broadband, huduma hii inapatikana mahali ambapo TTCL landline zinafika (Mijini) na tariff zake ni hizi:


New BroadBand Package Tarriffs effective from 1st October 2009

Package Size

Price per month (Tshs)(VAT inclusive)
Time
Broadband -1GB
30,000
Per Month
Broadband – 2GB
60,000
Per Month
Broadband – 4GB
100,000
Per Month
Broadband – 10GB
200,000
Per Month
Broadband – 20GB
360,000
Per Month
Broadband –40GB
450,000
Per Month
Broadband – 100GB
1,000,000
Per Month

Hivyo alichosema kuhusu 1mb kwa Tshs.160 ni sawa lakini hii ni kwa Mobile internet na sio broadband. Wheather is cheap or expensive you can see the real tariff above.

Nawasilisha mkereketwa wa kampuni za kizalendo.



Unajua kama ukiangalia mwanzo kabisa nimesemea ni EV-DO yaani wireless broadband.
Na sio hiyo ya fixed, ila ukweli upo pale pale kuwa hawa jamaa wa TTCL wanagharama kubwa sana ukilinganisha na zantel na Sasatel
 
Shukrani kwa kutuhabarisha Think,hata mimi natumia Zantel kwa speed hawana mpinzani,kwa hilo Zantel ni nambari wani,
ThinkPad vipi uko mjini hapa Dar au uko mkoa ,kila la heri
 
Nakushauri uwaone CCTV yaani very cheap akija Sunctus atathibitisha mm nalipia $ 70 for 6GB kwa miezi 3.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom