Erwin Rommel
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 429
- 115
Watu, taasisi, na hata serikali za nchi za nje (hususan China) ambazo kwa nyakati tofauti wamemtunuku JK nishani, 'udokta uchwara' eti kwa utawala bora na kusimamia masuala ya taifa vizuri, mbona mko kimya? Mpeni faraja mjamaa, mambo magumu sana!
Kuna kijarida kimoja cha marekani kinachoendeshwa na ma-Afro American mwaka uliopita nacho kilimpa 'udokta' na nishani hiyo ilipokelewa na Membe. Mbona sasa hivi kimeuchuna?
Hivi walivyokuwa wanampapatikia, walikuwa kweli wanajua undani wa JK? Kwamba ni mbabaishaji tu?
Kuna kijarida kimoja cha marekani kinachoendeshwa na ma-Afro American mwaka uliopita nacho kilimpa 'udokta' na nishani hiyo ilipokelewa na Membe. Mbona sasa hivi kimeuchuna?
Hivi walivyokuwa wanampapatikia, walikuwa kweli wanajua undani wa JK? Kwamba ni mbabaishaji tu?