Ila sijalewa kama Aslay anataka nani aambiwe ama zake ama zetu kwamba anasababisha tusiwe na amani!
Mpe buku 7 sasaTunampongeza Dogo Aslay kwa Kuzunguka katika Kampeni za Mama Samia Nchi nzima. Ni mwanachama mzuri wa CCM.
Changia matibabu mkuu, cd utanunua wakati mwingine.Huu wimbo kama ni singo niko tayari kuinunua hata kwa Tshs. 20,000/=....
Inapatikana wapi tafadhali?
Kwenye wimbo wa dogo Aslay kuna maneno haya!
Lissu Get well soon!
kuna watu bwana eti wasiojulikana,
Wazalendo raha hatuna,
Tanzania amani hakuna,
wasidhani sisi ni wajinga sana,
kwa hili tunaumia roho zetu,
kwani lisu lipi baya alilofanya,
Mbona mwaharibu taifa letu,
Mwambieni ama zake ama zetu,
tutakufa nae
Mwambieni ama zake ama zetu,
tutakufa naye.
Sababu yake amani hakuna,
Ama zake ama zetu,
tutakufa naye.
Yalianzia kibiti Pwani,
na kutekana watu jamani,
siyo kama raia hatuoni,
kwa Lissu mmetugusa moyoni,
Nini chanzo bwana au ni kusema ukweli,
wasidhani sisi ni wajinga sana,
kwa hili tunaumia roho zetu,
kwani Lisu lipi baya alilofanya,
Mbona mwaharibu taifa letu?
Mwambieni ama zake ama zetu,
tutakufa naye,
Mwambieni ama zake ama zetu,
tutakufa naye.
Kwa sababu yake amani hatuna!
Changia matibabu mkuu, cd utanunua wakati mwingine.
KWAHIYO AKIWA CCM HARUHUSIWI KUMFARIJI MTANZANIA MWENZAKE ? AKILI ZA CCM ZIMEJAA FUNZA NA MNACHOTENGENEZA NI HIKI CHUKI BAINA YETU NIKIANGALIA JINSI WATANZANIA WANAFURAHIA HAYA MAMBO YA ALBADILI NAPATA PICHA KIWANGO CHA CHUKI KIMEFIKIATunampongeza Dogo Aslay kwa Kuzunguka katika Kampeni za Mama Samia Nchi nzima. Ni mwanachama mzuri wa CCM.
MakondaIla sijalewa kama Aslay anataka nani aambiwe ama zake ama zetu kwamba anasababisha tusiwe na amani!
Swali lako linajibiwa pale anaposema he ni kwa sababu Lissu anasema ukweli?Ila sijalewa kama Aslay anataka nani aambiwe ama zake ama zetu kwamba anasababisha tusiwe na amani!
Peopleoooooooosssss, tunataka makamanda wa ukweli. Jf hata jero tuchangie mimi niechanga kidogo nikiongeza nitataja kwa sasa naona noma.Nimesha u - download wimbo tayari na unaunguruma repeatedly ktk gari yangu kila ninapotembea....
Nimeshachangia matibabu 15,000 na hii 20,000 naituma tena huko...!!
Asante
......ya umma/watuuu...!!Peopleoooooooosssss, tunataka makamanda wa ukweli. Jf hata jero tuchangie mimi niechanga kidogo nikiongeza nitataja kwa sasa naona noma.
NIMEKUPENDA BUREE NITAFUTE NIKUGAWIE PAPUCHENimesha u - download wimbo tayari na unaunguruma repeatedly ktk gari yangu kila ninapotembea....
Nimeshachangia matibabu 15,000 na hii 20,000 naituma tena huko...!!
Asante