Naomba nikuulize swali; kwa mfano ukianzisha kanisa na baadhi ya waumini wako wakawa majambazi wanaojificha kanisani kwako, na wewe unawajua, Ukaambiwa uwatoe ukakataa. Je, uachwe tu eti kisa ulianzisha kanisa? Waumini wasio na hatia wakae kimya tu sababu na wao wanasali hapo kanisani kwako?Wote mnaojifanya ooh wacha sheria ifate mkondo wake.....
Ma traitor nyie....
Hivi unajua mpo hapa sababu Melo na mwenzie,wali work hard, jukwaa likaanzishwa na leo lipo hapa,mnamwaga mashudu yenu Free!
Kuweni wakweli kuna forum ambayo watu wanaheshimiana kama hili?....Muslim wanatoa views zao,wakristo pia,wanaoabudu sisimizi na wachawi wote mnapewa ruhusa kuandika yao....
Sasa nyie mnaoona Max ni sawa kuwekwa ndani nawashangaa mpo hapa kufanya nini kwenye BARAZA LA MELO???YES MSIJISAHAULISHE,YEYE NDIE ALILIANZISHA!
Na nyie mnaomshikilia,the very fact Jamiiforums iko Hewani, mnajua kabisaaa hana hatia, otherwise mngeifunga jamii forums. Mnachekesha kwa kweli, ni sawa na kumkamata muuza gongo,na biashara ya gongo anaendelea kuuza,hapo VEPEEEE???!
Huo ni mfano, maana hamchelewi kujisahaulisha...
Hahaaaa mkuu na mie nakuuliza,unajua kabisa kuna majambazi yamo kanisani mwangu unanifata ili iweje?si uwachukue?huoni ukinifunga unawakosesha kondoo wengine wa bwana huduma ya upako lol.......hahaaa, na key problem unakua hujaisort sababu majambazi uliyotakiwa uyakamate umeyaacha yanadunda mtaani!Naomba nikuulize swali; kwa mfano ukianzisha kanisa na baadhi ya waumini wako wakawa majambazi wanaojificha kanisani kwako, na wewe unawajua, Ukaambiwa uwatoe ukakataa. Je, uachwe tu eti kisa ulianzisha kanisa? Waumini wasio na hatia wakae kimya tu sababu na wao wanasali hapo kanisani kwako?
Rebeca, tumia akili za kuzaliwa.
MKUU MANGE KIMAMBI NDIO ALIANZISHA HILI SAGA,KWA KUSEMA MAMBO PRIVATE YA MKUU,HAPA MAX NI SCAPE GOAT TU,ANATUMIKA BUREEE KUSEND A MESSAGE KWA WATU WASIGUSE ANGA ZA MAGUFULI, KUSEMA PERSONAL ISSUES ZAKE.Naomba nikuulize swali; kwa mfano ukianzisha kanisa na baadhi ya waumini wako wakawa majambazi wanaojificha kanisani kwako, na wewe unawajua, Ukaambiwa uwatoe ukakataa. Je, uachwe tu eti kisa ulianzisha kanisa? Waumini wasio na hatia wakae kimya tu sababu na wao wanasali hapo kanisani kwako?
Rebeca, tumia akili za kuzaliwa.
Mkuu kinachokuboa ni kipi hasa, kwa sababu Max kashitakiwa hili sio jambo la kushangaza kwa mwenendo tulionao hapa nchini kwa sasa. Bahati nzuri amefikishwa mahakamani na dhamana iko wazi. Kwa mujibu wa vyombo vya habari alirudi mahabusu kwa kukosekana mdhamini mmoja kati ya wawili kwenye kesi ya 3. Labda tueleweshe kama kuna tatizo azidiWote mnaojifanya ooh wacha sheria ifate mkondo wake.....
Ma traitor nyie....
Hivi unajua mpo hapa sababu Melo na mwenzie,wali work hard, jukwaa likaanzishwa na leo lipo hapa,mnamwaga mashudu yenu Free!
Kuweni wakweli kuna forum ambayo watu wanaheshimiana kama hili?....Muslim wanatoa views zao,wakristo pia,wanaoabudu sisimizi na wachawi wote mnapewa ruhusa kuandika yenu. .
Sasa nyie mnaoona Max ni sawa kuwekwa ndani nawashangaa mpo hapa kufanya nini kwenye BARAZA LA MELO???YES MSIJISAHAULISHE,YEYE NDIE ALILIANZISHA!
Na nyie mnaomshikilia,the very fact Jamiiforums iko Hewani, mnajua kabisaaa hana hatia, otherwise mngeifunga jamii forums. Mnachekesha kwa kweli, ni sawa na kumkamata muuza gongo,na biashara ya gongo anaendelea kuuza,hapo VEPEEEE???!
Huo ni mfano, maana hamchelewi kujisahaulisha...
Kwani mchungaji ana ubili ujambazi au anafundisha ujambaziHahaaaa mkuu na mie nakuuliza,unajua kabisa kuna majambazi yamo kanisani mwangu unanifata ili iweje?si uwachukue?huoni ukinifunga unawakosesha kondoo wengine wa bwana huduma ya upako lol.......hahaaa, na key problem unakua hujaisort sababu majambazi uliyotakiwa uyakamate umeyaacha yanadunda mtaani!
NB, niko humu miaka mingi hakuna jambazi humu,kama yupo I dare you mtaje?!
MNHHHHMkuu kinachokuboa ni kipi hasa, kwa sababu Max kashitakiwa hili sio jambo la kushangaza kwa mwenendo tulionao hapa nchini kwa sasa. Bahati nzuri amefikishwa mahakamani na dhamana iko wazi. Kwa mujibu wa vyombo vya habari alirudi mahabusu kwa kukosekana mdhamini mmoja kati ya wawili kwenye kesi ya 3. Labda tueleweshe kama kuna tatizo azidi
Wewe haukufualitia tukio pale mahakamani inawezekana unaleta taarifa ambazo na wewe umezisikia mitaani ndio maana huna taarifa sahihi nna usidanganye watu kwamba wadhamini walikosekana kwa kosa la tatu, huu ni upotoshaji mkubwa unao ufanya fuatili kisa kwa ukamilifu kabla ya kusimama kam shahidi.Mkuu kinachokuboa ni kipi hasa, kwa sababu Max kashitakiwa hili sio jambo la kushangaza kwa mwenendo tulionao hapa nchini kwa sasa. Bahati nzuri amefikishwa mahakamani na dhamana iko wazi. Kwa mujibu wa vyombo vya habari alirudi mahabusu kwa kukosekana mdhamini mmoja kati ya wawili kwenye kesi ya 3. Labda tueleweshe kama kuna tatizo azidi
Mimi huwa nawatukana kimya kimya tu matusi yoooote ninayoyafahamu na nisiyoyafahamu. Nina list ya matusi kabisa!!!Hahaaaa mkuu na mie nakuuliza,unajua kabisa kuna majambazi yamo kanisani mwangu unanifata ili iweje?si uwachukue?huoni ukinifunga unawakosesha kondoo wengine wa bwana huduma ya upako lol.......hahaaa, na key problem unakua hujaisort sababu majambazi uliyotakiwa uyakamate umeyaacha yanadunda mtaani!
NB, niko humu miaka mingi hakuna jambazi humu,kama yupo I dare you mtaje?!
Kama umesoma vizuri nimesema kwa mujibu wa vyombo vya habari na nikasema kama kuna la ziada tujuzane. Kama ulikuwepo mahakamani we ndio unapaswa kutuelewesha hayo mengine.Wewe haukufualitia tukio pale mahakamani inawezekana unaleta taarifa ambazo na wewe umezisikia mitaani ndio maana huna taarifa sahihi nna usidanganye watu kwamba wadhamini walikosekana kwa kosa la tatu, huu ni upotoshaji mkubwa unao ufanya fuatili kisa kwa ukamilifu kabla ya kusimama kam shahidi.