Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
Nimekutana na dada mmoja akanifurahisha sana
tulikuw a tunaongea kuhusu madada zetu walivyogeuka
ATM gafla na wengine kuwa Vibomu vya Miizinga
hakika akuacha kuwa muwazi na kusema sasa kama wengi wanawakimbia hawa wenye hela wataishi nani..tukisema kila mtu awakimbie ...ndio maana nasema kila mtu kaumbwa dunian na wake hata ukifosi king atakuja kukuacha tu na kuja kwangu
duhh...nikaogopa lakini naguna!!!!hata wewe....!!!
tulikuw a tunaongea kuhusu madada zetu walivyogeuka
ATM gafla na wengine kuwa Vibomu vya Miizinga
hakika akuacha kuwa muwazi na kusema sasa kama wengi wanawakimbia hawa wenye hela wataishi nani..tukisema kila mtu awakimbie ...ndio maana nasema kila mtu kaumbwa dunian na wake hata ukifosi king atakuja kukuacha tu na kuja kwangu
duhh...nikaogopa lakini naguna!!!!hata wewe....!!!