Kosa kubwa mnalofanya ni ubaguzi na kutumia makosa ya wahalifu ambao ni wanasiasa wa upinzani na kuuageuza agenda za Kuchafua Nchi kwa madai potofu kuwa Upimzani unaonewa wanatiwa ndani nk.
Mbona ambao wana kesi kutoka Chama tawala ni wengi sana na wako ndani lakini hamsikiko mkilalamika kuwa na wao wameonewa??? Au Uhalifu wa upinzani ni halali lakn kwa CCM ni haram????
Tunaposema Uzalendo hatuyaangalii haya ambayo ndioyo uanayoleta ubinafsi na kuwpotosha Umma waichukie nchi yao.
Unataka tukusaidieje?Na hapa ndipo mnapopotea
Naongelea Utaifa
Tafsiri yako ni potofu.Unataka tukusaidieje?
Mumeo umemjulishaWapendwa Tarehe ya kesho sote kama Watanzania bila kujali itikadi zetu na tofauti zetu zote.
Sote tunabaki kuwa ni Taifa moja lilokubwa hapa Afrika Mashariki.
Umoja wetu na Uzakendo kana Taifa ni jambo la Msingu kwetu na vizazi vijavyo. Hivyo ji muhimu tuwe pamoja katika hili
Aidha baadhi ta taasisi wameshakuwa wakipost salam za kutakia Siku njema katika maadhimisho haya ambayo yatafanyika Makao makuu ya Nchi yetu Dodoma.
Na sisi pia si vibaya tukipongeza/pongezana ktk hili.
Asante Jamiiforum! kwangu leo nawapa tunu hii ninyi kwa uzalendo wenu kutuweka humu tunapigana na kupeana changamoto huku tukitaarifiana na kuelimishana.
Asanteni.
Only if kuna haki katika taifaTafsiri yako ni potofu.
Unapodhani au umefundishwa na wapotoshaji kuwa Uzalendo ni kuwa Mwanachama wa CCM na hivyo nahamasisha uzalendo huo kwenye thread hii kwa sababu mimi ni Mtu wa CCM. Huko ni kupotoka
Mimi nazungumzia Uzalendo wa Kitaifa/Taifa
Ni kweli dhana nzima ya Uzalendo ni pana na iko hata kuwa Mwanachama mtiifu wa Chama fulani cha Siasa iwe ni CCM,CDM au vingine kote huko kuna Uzalendo wake.
Lakini linapokuja suala la Utaifa sote bila kujali rangi,kabila,dini au itikadi za kisiasa tunabaki kuwa kitu kimoja bila kijali tofauti zetu za ndani. Na hii ndio silaha muhimu sana inapotokea adui wa nje anataka kutuvamia au kufanya hila fulani dhidi ua Taifa letu.
Nchi yoyote ambayo Raiya wake hawajui ama hawana Uzalendo thabiti na wa kweli, basi ni rahisi adui kuingia kati na kuibomoa