Hivi wewe unamjuwa JK au unamsikia? JK leo alifanya ziara ya ghafla kutembelea yale makanisa yaliyochomwa moto Mbagala. Kama unadhani JK yupo Shinyanga umenoa na wiki ijayo anakwea mwewe kwenda Muscat.Kama unaongelea hotuba aliyoitoa Shinyangj basi umenoa.
Hakutumia lugha yoyote ya msisitizo, na hakuwa serious hata chembe.
Jambo aliloonyesha kuguswa nalo na kuongea kwa ukali ni pale aliposema..."hata kama ni kijana mdogo, kukojolea kuruani ni kosa kubwa sana"!
Kutoka moyoni, Simpendi JK na mambo yake yote!
Kama unaongelea hotuba aliyoitoa Shinyangj basi umenoa.
Hakutumia lugha yoyote ya msisitizo, na hakuwa serious hata chembe.
Jambo aliloonyesha kuguswa nalo na kuongea kwa ukali ni pale aliposema..."hata kama ni kijana mdogo, kukojolea kuruani ni kosa kubwa sana"!
Absolutely.The worse president ever in Tz
Kuna Moderator mmoja anayetupigaga ban za kibwegebwege basi hapo kanuna.Same do I na IDs zangu zote 19
Waislam watambue kuwa si kwamba wakristo wanashindwa kuchoma misikiti au kwamba ni waoga la hasha bali ni wastaarabu,wanaheshimu na kujali utu na mungu wao si wa visasi na fujo. Tz tuheshimiane.
hakuna kitu hapo
alishaahidi ana list za wauza unga, wala rushwa, majambazi nk. umeshawahi kuona chochote??
Hizo ni propaganda tu baada ya kubinywa papaya
halafu siku JF hii breaking news kama inapoteza maana tu
Kuna Moderator mmoja anayetupigaga ban za kibwegebwege basi hapo kanuna.
Hii ni kauli nzito yenye busara na mantiki! Mwenye masikio na asikie!!Hata mbuyu ulianza kama mchicha, utawala huu upo ktk kufanya kazi ya kuinenepesha Boko Haramu ya Tanzania.
Ila watu hawajui ligi! Si wangechukua bible wakakojolea yaishe?