Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
Nimeangalia taarifa ya habari ya saa mbili (ITV), rais ameahidi kuwa wote walioshiriki na hata kuwatuma watu kufanya vurugu na kusababisha kuharibu mali kwenye vurugu za mbagala watashughuliwa:
MYTAKE: Je; na yule mtoto aliye-MTHUBUTISHA mwenzie nae atashughulikiwa?, maana nasikia kikojozi atafikishwa mahakamani kesho.
MYTAKE: Je; na yule mtoto aliye-MTHUBUTISHA mwenzie nae atashughulikiwa?, maana nasikia kikojozi atafikishwa mahakamani kesho.