Jurrasic Park
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 3,792
- 6,768
Saddy HIV/AIDS day
leo hapa kazini kwetu tunatoa elimu ya ukimwi kwa wanafunzi wa sekondari na vyuoni. nami na mimi niwape elimu hii itawasaidia wadogo zangu.
Ukimwi unapatikana kwenye damu, maji ya ukeni, shahawa tu. japo kwenye mate wapo ila ili kuambukizwa kupitia mate, inabidi unywe lita moja ndo unaweza kupata.
njia ya kuambukizwa kwa watanzania ni uasherati. hasa wale wapenda jicho huko ndo usisema rahisi sana kupata. wakati unataka kufanya mapenzi na mtu vaa kinga ata kama umelewa na kiroba kumbuka kuvaa usiamini mtu. kama huna kondom alafu sasa unapromise, usinyoe nywele za kule chini wala ndevu. hakikisha kwenye lips za mdomo hakuna vidonda. wale kwenye ile mashine yako haina vidonda kabisa. mimi huwa nilikuwa nachukua spirit na pamba kisha najipaka maumivu nikisikia najua sio salama.
wakati wa tendo ukimaliza kakojoe na huko huko osha mashine yako kabisa hivyo vitawasaidia sana
amina
leo hapa kazini kwetu tunatoa elimu ya ukimwi kwa wanafunzi wa sekondari na vyuoni. nami na mimi niwape elimu hii itawasaidia wadogo zangu.
Ukimwi unapatikana kwenye damu, maji ya ukeni, shahawa tu. japo kwenye mate wapo ila ili kuambukizwa kupitia mate, inabidi unywe lita moja ndo unaweza kupata.
njia ya kuambukizwa kwa watanzania ni uasherati. hasa wale wapenda jicho huko ndo usisema rahisi sana kupata. wakati unataka kufanya mapenzi na mtu vaa kinga ata kama umelewa na kiroba kumbuka kuvaa usiamini mtu. kama huna kondom alafu sasa unapromise, usinyoe nywele za kule chini wala ndevu. hakikisha kwenye lips za mdomo hakuna vidonda. wale kwenye ile mashine yako haina vidonda kabisa. mimi huwa nilikuwa nachukua spirit na pamba kisha najipaka maumivu nikisikia najua sio salama.
wakati wa tendo ukimaliza kakojoe na huko huko osha mashine yako kabisa hivyo vitawasaidia sana
amina