Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,845
...bANDUGU wAPENZI...
Kila tunapokaribia mwisho wa mwaka, ajali na vifo huwa ni kama hitimisho la mwaka. Hebu tukumbushane yaliyo muhimu, sio kila siku kusifia Infidelity tu, roho ikiacha mwili tunawaachia wafiwa kivumbi.
Hivi, kuna umuhimu katika wosia kuwataja watoto ulokuwa umemficha mwandani wako? au ndio potelea mbali, watajuana wenyewe?
Sio siri, wapo kina dada waliozaa enzi za sekondari, watoto wakarithiwa na bibi bila mume kujua mpaka kifo kilipotenganisha, ...kama ilivyo kwa wanaume waliozalisha na kuficha watoto mpaka siku ya msiba, ndipo kijana au binti alipoletwa.
Kwa mtizamo wako na itavyokugusa habari hii, nini unaona ni nafuu kwako. Kuujua Ukweli toka kwa wosia wa marehemu mke/mume? au bora ya kitendawili anachofukiwa nacho -hakuona haja ya kukwambia?
Kila tunapokaribia mwisho wa mwaka, ajali na vifo huwa ni kama hitimisho la mwaka. Hebu tukumbushane yaliyo muhimu, sio kila siku kusifia Infidelity tu, roho ikiacha mwili tunawaachia wafiwa kivumbi.
Hivi, kuna umuhimu katika wosia kuwataja watoto ulokuwa umemficha mwandani wako? au ndio potelea mbali, watajuana wenyewe?
Sio siri, wapo kina dada waliozaa enzi za sekondari, watoto wakarithiwa na bibi bila mume kujua mpaka kifo kilipotenganisha, ...kama ilivyo kwa wanaume waliozalisha na kuficha watoto mpaka siku ya msiba, ndipo kijana au binti alipoletwa.
Kwa mtizamo wako na itavyokugusa habari hii, nini unaona ni nafuu kwako. Kuujua Ukweli toka kwa wosia wa marehemu mke/mume? au bora ya kitendawili anachofukiwa nacho -hakuona haja ya kukwambia?