Mkirua
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 5,647
- 2,498
Yaani kweli ww ndio bubusa, aliyasema hayo ili hali akijua hicho kitu kinakuja cha vyama vingi akaamua kuvihukumu na kuvipa laana mapemaaa. Na hii ina maana kuanzia viongozi + wanachama+wapenzi
Nitakuwa wa mwisho kuamini kama kuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kuipigia kura na kuishabikia CCM iliyozaa serekali legelege.