Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,558
- 45,830
Nchi ina mambo hiiHalafu alivyo mzuri jamani, maimatha nae kayatinganya
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Nchi ina mambo hiiHalafu alivyo mzuri jamani, maimatha nae kayatinganya
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Jinga lile nalo...chawa tuHalafu alivyo mzuri jamani, maimatha nae kayatinganya
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Halaf msando alivyo kibamia eti anakuambia eti mchumba mara mpenziHahahaaaa...yaani wanaume wenye pesa wajifunze jamani kaahh!Magige ,Likwelile,Mengi acha kabisaa...watu wanagombea msiba...
Eti mbunge kafiwa na mchumba kumbe alikua hajaolewa Magige
Si kapokea fungu mweh. Hawa wanaume wa kaskazini ni tatizo sana aisee..Halafu alivyo mzuri jamani, maimatha nae kayatinganya
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Si kufichia aibu taifa lako ili msiba usiwe na vurugu? Ama hata hujui msiba ulikua masaki baadaye ukapelekwa kinondoni kwa klyn? Ustaarabu mwongine kwa washenz kama hawa haufai...
Ni jk ndo alipiga na akamwambia sitaki matatizo na wewe namtaka mke wangu hapa sasa hivi. Basi weee... akaemseshwa na ving'ora juu mpaka msoga kama malkia
Basi hufahamu. Issue hii alikuja ituliza Askofu Pengo. Ndiye aliyekuja mbembeleza Amwachie. Na Ben akishiriki pia kuwa haitaleta picha nzuri. Na baadaye wakakaa naye kumwelekeza mambo flani kuwa arekebishe. Jiwe alikuwa Jiwe kweli kweli.Ni jk ndo alipiga na akamwambia sitaki matatizo na wewe namtaka mke wangu hapa sasa hivi. Basi weee... akaemseshwa na ving'ora juu mpaka msoga kama malkia
Mmmmh! Napata picha Jiwe alikuwa ni mtu wa aina gani! Kweli jamaa alikuwa na roho ngumu.Basi hufahamu. Issue hii alikuja ituliza Askofu Pengo. Ndiye aliyekuja mbembeleza Amwachie. Na Ben akishiriki pia kuwa haitaleta picha nzuri. Na baadaye wakakaa naye kumwelekeza mambo flani kuwa arekebishe. Jiwe alikuwa Jiwe kweli kweli.
Matusi mazito kama yapi?Na mimi nakumbuka exactly hivi kwamba jk ndo alikua ametoka tu na jiwe ndo ameingia jk akasema hataki kuharibiana as he was just fresh from kustaafu maana he could have done abything hapo kwa lofa kumpigia basi sikujua. Sasa jiwe anakua jeuri that time wakati ikulu imejaa msoga boys kibao... ushamba mzigo sana... ila MAMA SALMA IS A WOMAN WITH HER OWN BO*OBZ yaan ni anamchamba jiwe viizuuriiiiii bila uoga na mawani yake mkavuu tena mitusi mizito mziito
🤣Alikua anataka mpaka bonite, itv 😅😅 , ukute mzee aliandika wakati mnyama yupo ndani ya mbususu 🤣🤣🤣🍻🍻
Nisaidien hilo swalMpumbavu Sana Jack alininyima dili mbwa yule. Simu akaniblock na email akawa hajibu.
2018 hiyo Wala sio mbali. Nikasema sawa mama acha niendelee na maisha yangu.
Yani anavyosagiwa kunguni Sasa hivi nafurahi Sana Dadeki. Ubaya ubaya.
Enyi wachaga wa kibosho , uru , Hai na duniani Endeleeni kusaga kunguni Hadi huyu mtusi wa Manyovu - kigoma aweke chupi kichwani.
Mbavvvv kabisa google hujui kuitumia