Watanzania
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 727
- 42
Nimeona ni jambo zuri kuwa na threadi inayokumbushia hotuba za baba wa Taifa la Tanzania Mwalimu Julias Kambarage Nyerere. Tushirikishane ujumbe katika hotuba zake mbalimbali kwa manufaa ya umoja, utaifa, uhuru, maendeleo, tunu na misingi ya taifa letu.