Huu ni wosia Mzito kutoka team X team yakuhakikisha CCM anabaki kwenye Dola miaka inayo au laa mbeleni wategemee kugawana fito.
Na hii ni baada yakuonekana uchaguzi wa mwaka huu 2020 wenye Dola wanataka kuikamata Dola kisawa sawa Yani ni ccm mwanzo mwisho. Ila wenye akili wakatoa haya.
Mnaweza shangilia Kwa furaha kubwa Mme kamata Dola 99% Ila nilazima mjuwe watanzania Wana akili na kwakuwa kweli tuna Dola watakaa kimya Ila chuki itakuwa Kwa kiwango kikubwa nje Jambo litatishia uwepo wa chama na Amani ya nchi.
Tunaweza kumfanya Rais ashinde hata Kwa asilimia 99% watu wanaweza kuelewa kiasi Ila mkigusa kwenye wabunge aka majimbo nakupandikiza wabunge Ambao Kura hazikuwatosha fukuto litakuwa kubwa kwenye majimbo Jambo litaleta upingwaji mkubwa wa chama uchaguzi ujao.
Tatu, Jambo lingine la hatari ikiwa tutafunga goli la mkono kwenye majimbo ya ubunge basi tuniandae Kwa mpasuko mkubwa kwenye majimbo na vurugu ambazo ukiziangalia kwakuwa zitakuwa ni za majimbo zaweza badilika na Kuwa za kitaifa why umewaunganisha kimajimbo mfano hapa DSM ukiwapokonya upinzani majimbo wanayaongoza Kwa kutumia Dola basi ujuwe unaiunganisha dar kwenye vurugu jambo ungelizuwia Kwa kutangaza mahindi upinzani kwenye ubunge wakati kwenye urais unamtangaza CCM.
Hivyo nilazima mkae mkijuwa ushindi wa chama chetu CCM usiwe wa term moja ukatupa KAZI ngumu 2025. Nadhani sote ninmashahidi ya kile kinaendelea ZNZ na hatupaswi kubeza na kufikiri watanzania ni Wajomba.
Na hii ni baada yakuonekana uchaguzi wa mwaka huu 2020 wenye Dola wanataka kuikamata Dola kisawa sawa Yani ni ccm mwanzo mwisho. Ila wenye akili wakatoa haya.
Mnaweza shangilia Kwa furaha kubwa Mme kamata Dola 99% Ila nilazima mjuwe watanzania Wana akili na kwakuwa kweli tuna Dola watakaa kimya Ila chuki itakuwa Kwa kiwango kikubwa nje Jambo litatishia uwepo wa chama na Amani ya nchi.
Tunaweza kumfanya Rais ashinde hata Kwa asilimia 99% watu wanaweza kuelewa kiasi Ila mkigusa kwenye wabunge aka majimbo nakupandikiza wabunge Ambao Kura hazikuwatosha fukuto litakuwa kubwa kwenye majimbo Jambo litaleta upingwaji mkubwa wa chama uchaguzi ujao.
Tatu, Jambo lingine la hatari ikiwa tutafunga goli la mkono kwenye majimbo ya ubunge basi tuniandae Kwa mpasuko mkubwa kwenye majimbo na vurugu ambazo ukiziangalia kwakuwa zitakuwa ni za majimbo zaweza badilika na Kuwa za kitaifa why umewaunganisha kimajimbo mfano hapa DSM ukiwapokonya upinzani majimbo wanayaongoza Kwa kutumia Dola basi ujuwe unaiunganisha dar kwenye vurugu jambo ungelizuwia Kwa kutangaza mahindi upinzani kwenye ubunge wakati kwenye urais unamtangaza CCM.
Hivyo nilazima mkae mkijuwa ushindi wa chama chetu CCM usiwe wa term moja ukatupa KAZI ngumu 2025. Nadhani sote ninmashahidi ya kile kinaendelea ZNZ na hatupaswi kubeza na kufikiri watanzania ni Wajomba.