Worldwide: Unafikiri ni nadharia zipi ama vitu vipi tulilaghaiwa..?

Kuambiwa Mungu alimtoa mwanaye wa pekee atufie Msalabani ili tusamehewe dhambi zetu wakati mtenda dhambi mwenyewe Shetani yupo ahhhh nachoka kabisa

Kuambiwa katika Biblia kuwa Mungu alimuumba Shetani halafu akaja kumuasi na tunaambiwa yeye aijua kesho yetu tangu tupo kwenye viuno vya baba zetu mimi nimegoma kusadiki. Ina maana hakujua kuwa shetani angekuja kumuasi!?

Kuambiwa kuwa Mungu aliziumba Mbingu na Dunia kwa siku sita tena kwa kutamka ili hali sasa hivi huku kwetu ni asubuhi, kwingine ni usiku ama kwingine ni mchana, hapana kwakweli.

Kwenye kitabu cha Ayubu yule mtu wa Usi, kinasema Mungu alimuuliza Shetani atokako ajamjibu ametoka kuhangaika huko Duniani na akamuuliza kama amemuona mtumishi wake Ayubu aliyemkamilifu. Kumbe Mungu na Shetani ni washkaji huwa wanapiga stori!?


Mjukuu wangu, nachoka kabisaa niko Hoves(in her voice)
Wanajuana
 
Back
Top Bottom