Jamaa wa Bongo wako in denial, kila kitu kuhusu Kenya wanakuja hapa kupinga,. Wanadhani nairobi ni Kibera, Mathare na Dandora peke yake, nimeishi Dar sanaaaaa na hata chembe moja ya dar haikaribii Nairobi. Give props where due bruh, acceptance is the first step in making a change na wengi wenyu hamkubali kua kenya na shida zetu zote na kukosa madini bado tunawashinda hands down kwa kila kitu isipokua uganga, uvivu na kuimba miziki ya kishenzi.
Baada ya kusoma sehemu yenye red nimegundua ni mtu wa namna gani, I had to do nothing but underestimate your comment.