lini tutakluwa na kitu kama hicho bongo?
Miaka 300 ijayo
Haahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
lini tutakluwa na kitu kama hicho bongo?
Miaka 300 ijayo
Haahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Halipiti kwenye barabara za kawaida likienda kazini? Nina hofu na miundo mbinu kwa uzito huo. Kwa kwetu nahisi ni bora lisije coz zile boti zilizoenda Mwanza kipindi kile zilizua balaa, hili si ndio itakuwa zaidi? unless lisafirishwe vipande vipande. Hata hivyo tuna uzoefu zaidi wa kuchimbia mabeleshi, hili litatucheleweshea utendaji kazi.......
Halipiti kwenye barabara za kawaida likienda kazini? Nina hofu na miundo mbinu kwa uzito huo. Kwa kwetu nahisi ni bora lisije coz zile boti zilizoenda Mwanza kipindi kile zilizua balaa, hili si ndio itakuwa zaidi? unless lisafirishwe vipande vipande. Hata hivyo tuna uzoefu zaidi wa kuchimbia mabeleshi, hili litatucheleweshea utendaji kazi.......
mkuu niwekee link nikalicheki![]()
Hili monster lenye uzito wa tani 13,500 linauwezo wa kuchimba kina cha futi 90 kwenye eneo sawa na uwanja wa mpira kwa masaa 8!