Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 12,915
- 16,657
- Thread starter
- #21
Hiyo ni Gazeti, nenda ukafungie nyama daddy.Official sourceView attachment 1760263
Hiyo ni Gazeti, nenda ukafungie nyama daddy.Official sourceView attachment 1760263
Nyie ma millioner wenu si majizi ya serekaliWale watu wanaopayuka kwamba TZ ndio ina highest number of millionaires mezeni wembe.
You don't deserve my time. low thinking capacity. 🚮Weka post niliyotamba kwa utajiri wa Mo hapa, wacha longolongo.
Mimi najibu post yoyote ya JF, huwezi kunipangia cha kujibu.Post zote za JF nina uhuru wa kujibu au kutojibu, this is a freaking public forum, get a brain.
Acha ujinga wa groupthink na kuangalia watu kama groups.
It is a sign of being socially primitive and mentally underdeveloped.
When you wrote "You don't deserve my time" you were already giving me your time.You don't deserve my time. low thinking capacity. 🚮
Hilo huwaga ni li fara limoja kazi yake ni bot mitandaoni, yupo sky.., yupo naira land, kazi yake kubwa ni kupambana na wabongo.When you wrote "You don't deserve my time" you were already giving me your time.
Who has even lower thinking capacity now?
Atakuwa anatafuta kupewa mimba na Wabongo azae mtoto apate kuhemea ardhi Tanzania.Hilo huwaga ni li fara limoja kazi yake ni bot mitandaoni, yupo sky.., yupo naira land, kazi yake kubwa ni kupambana na wabongo.
More dollar millionairesWale watu wanaopayuka kwamba TZ ndio ina highest number of millionaires mezeni wembe.
Wow. Amazing.