World Wealth Report 2021. Kenya has more dollar millionaires than all other East African countries combined.

Mtakosaje mabilionea sasa., Hizi habari kila siku zipo
PhotoGrid_1619091773596.jpg
 
Weka post niliyotamba kwa utajiri wa Mo hapa, wacha longolongo.

Mimi najibu post yoyote ya JF, huwezi kunipangia cha kujibu.Post zote za JF nina uhuru wa kujibu au kutojibu, this is a freaking public forum, get a brain.

Acha ujinga wa groupthink na kuangalia watu kama groups.

It is a sign of being socially primitive and mentally underdeveloped.
You don't deserve my time. low thinking capacity. 🚮
 
When you wrote "You don't deserve my time" you were already giving me your time.

Who has even lower thinking capacity now?
Hilo huwaga ni li fara limoja kazi yake ni bot mitandaoni, yupo sky.., yupo naira land, kazi yake kubwa ni kupambana na wabongo.
 
Hilo huwaga ni li fara limoja kazi yake ni bot mitandaoni, yupo sky.., yupo naira land, kazi yake kubwa ni kupambana na wabongo.
Atakuwa anatafuta kupewa mimba na Wabongo azae mtoto apate kuhemea ardhi Tanzania.

Kenya familia moja ya Kenyatta imekamata ardhi nzuri iliyo sawa na mkoa mzima wa Nyanza.

Hiyo familia moja tu ya Kenyatta, hapo hujaanza hesabu za Moi, Kibaki na hangers on wengine.

Wenyewe wenye nchi kina Kenyatta wanabembelezea mahusiano mazuri na Tanzania wafanye biashara na kupiga pesa kubwa.

By the time ukiwafikia hawa vibaka wa Kariobangi na slums za Nairobi wenye muda wa kujishebedua hapa, utakuta karibu wote wanaishi kwenye tin cans za Kibera style.

Lazima waje kumalizia frustrations zao hapa.

 
Back
Top Bottom