World War 3: Turkey's Erdogan calls for 'ARMY of Islam' to ATTACK Israel on all sides

Inaweza kua ndio WWW 3 ... Vita hii ni lazima Mrusi na mchina watakua upande wa Turkey..

Uku wamagharibi wakawa upande wa Israel.

Kama kunatukio litakaloweza sababisha vita ya tatu ya Dunia..ni LAZIMA LITAKUA LINAANZIA ISRAEL


Maana katika maandiko, ukimsoma Ezekiel , ametabiria ilo!!!
Hiyo unasema LAZIMA MRUSI NA MCHINA. watakuwa upande fulani.
Wamekwambia au unapanga wewe.
 
Ye bashar anasemaje khs Wakurdi kupigwa na waturuki ndani ya Ardhi yake(Syria).
Edorgan baada ya kukoswa koswa kupinduliwa na Adui wake anayeungwa mkono na NATO ... Baada ya kupenyezewa habari za kiintelijensia na majasusi wa Urusi... Edorgan akaamua kumshukuru Putin..nandio chanzo cha edorgan kufanya madeal kadhaa na Putin.


Putin hakutaka majeshi ya US..ila hakua nanamna ya kuyaondoa.

Majeshi ya US yanaungwa mkono na kulindwa na Wakurudi.

Kwaiyo Putin na Edorgan wakacheza mchezo.


Wewe jifanye kuwashambulia Wakurudi, nakwakua wee ni NATO MEMBA...NATI MEMBA US HAWEZ KUKUSHAMBULIA.


Uturuki kaamua kuwashambulia wakurudi..kwa lengo la kuwatimua US..US akastuka mapema..ye akatoa wanajeshi wake.

Ili kuua Soo, Uturuki akapewa ruksa kuendelea kuwachakaza wakurudi.

Wakurudi wakarusi kwa Bashar Al asaad ,wakakubali kua sehem ya syria.

Ngoma ikarudi...ili kusitisha mashambulizi ya wakurudi, Urusi na syria zimepeleka majeshi yake


Kiulisia Uturuki hatoweza mpiga Syria au Russia.


NB..napata hofu, Muuni anaweza akaamua kusonga mbele, mwisho wasiku NATO ikarudi kumsadia ....ingawa hii itazaa Vita kubwaaaaa
 
Hiyo unasema LAZIMA MRUSI NA MCHINA. watakuwa upande fulani.
Wamekwambia au unapanga wewe.
Sasa kaisari... Ata ukitumia akili utajua Dunia ya sasa imegawika ktk makundi mawili tu

Ukitizama uwekezaji wa kiuchumi wa Urusi ma mchina kwa sasa umeegemea nchi zipi..utanielewa......


Uchumi==Jeshi==Vita.
 
Hiyo unasema LAZIMA MRUSI NA MCHINA. watakuwa upande fulani.
Wamekwambia au unapanga wewe.
Sasa kaisari... Ata ukitumia akili utajua Dunia ya sasa imegawika ktk makundi mawili tu

Ukitizama uwekezaji wa kiuchumi wa Urusi ma mchina kwa sasa umeegemea nchi zipi..utanielewa......


Uchumi==Jeshi==Vita.
 
Edorgan baada ya kukoswa koswa kupinduliwa na Adui wake anayeungwa mkono na NATO ... Baada ya kupenyezewa habari za kiintelijensia na majasusi wa Urusi... Edorgan akaamua kumshukuru Putin..nandio chanzo cha edorgan kufanya madeal kadhaa na Putin.


Putin hakutaka majeshi ya US..ila hakua nanamna ya kuyaondoa.

Majeshi ya US yanaungwa mkono na kulindwa na Wakurudi.

Kwaiyo Putin na Edorgan wakacheza mchezo.


Wewe jifanye kuwashambulia Wakurudi, nakwakua wee ni NATO MEMBA...NATI MEMBA US HAWEZ KUKUSHAMBULIA.


Uturuki kaamua kuwashambulia wakurudi..kwa lengo la kuwatimua US..US akastuka mapema..ye akatoa wanajeshi wake.

Ili kuua Soo, Uturuki akapewa ruksa kuendelea kuwachakaza wakurudi.

Wakurudi wakarusi kwa Bashar Al asaad ,wakakubali kua sehem ya syria.

Ngoma ikarudi...ili kusitisha mashambulizi ya wakurudi, Urusi na syria zimepeleka majeshi yake


Kiulisia Uturuki hatoweza mpiga Syria au Russia.


NB..napata hofu, Muuni anaweza akaamua kusonga mbele, mwisho wasiku NATO ikarudi kumsadia ....ingawa hii itazaa Vita kubwaaaaa
Hapo nimepata picha mkuu.

Shida ya Turkey hua ni Snitch hanaga misimamo kabisa.

Hivi Russia si alimuuzia Turkey zile S-400,sijui kama zimeshaanza kufanya kazi.

Jana congress limelalamika sana kwa Trump kuwatosa washirika wao(Wakurdi).

Ila Marekani imepata kichaa this time,wkt mtanange wa kuwatosa wakurdi ukiendelea Trump akawaambia General Mattis ndie the most overated and lazy in the history of US
 
TURKEY’S President Recep Tayyip Erdogan and his ruling Justice and Development Party (AKP) have announced they want to create an “army of Islam” to wage war against Israel, it has been revealed.

Less than a month ago the Turkish state’s mouthpiece the daily Yeni Şafak ran an article for Erdogan titled “A call for urgent action” and on the newspaper’s website headlined “What if an army of Islam formed against Israel?”

It called for the 57 member states of the Organisation of Islamic Cooperation (OIC) to form a joint army to simultaneously attack Israel from all sides.

The article said: “If the member states of the OIC unite militarily, they will form the world’s largest and most comprehensive army.

“The number of active soldiers would be at least 5,206,100, while the defence budget would reach approximately $175billion (£124billion).”

The article provided additional details of the plan, saying: “It is expected that 250,000 soldiers will participate in the first of a possible operation.

“Land, air and naval bases of member states located in the most critical regions will be used.

“Joint bases will be constructed in a short period of time… It is possible for 500 tanks and armoured vehicles, 100 planes and 500 attack helicopters and 50 ships to mobilise quickly.”View attachment 1236249View attachment 1236251
Has Erdogan announced this or has it been "revealed"?. Was there a statement from Erdogan or it was in an article from a newspaper?.
 
Edorgan baada ya kukoswa koswa kupinduliwa na Adui wake anayeungwa mkono na NATO ... Baada ya kupenyezewa habari za kiintelijensia na majasusi wa Urusi... Edorgan akaamua kumshukuru Putin..nandio chanzo cha edorgan kufanya madeal kadhaa na Putin.


Putin hakutaka majeshi ya US..ila hakua nanamna ya kuyaondoa.

Majeshi ya US yanaungwa mkono na kulindwa na Wakurudi.

Kwaiyo Putin na Edorgan wakacheza mchezo.


Wewe jifanye kuwashambulia Wakurudi, nakwakua wee ni NATO MEMBA...NATI MEMBA US HAWEZ KUKUSHAMBULIA.


Uturuki kaamua kuwashambulia wakurudi..kwa lengo la kuwatimua US..US akastuka mapema..ye akatoa wanajeshi wake.

Ili kuua Soo, Uturuki akapewa ruksa kuendelea kuwachakaza wakurudi.

Wakurudi wakarusi kwa Bashar Al asaad ,wakakubali kua sehem ya syria.

Ngoma ikarudi...ili kusitisha mashambulizi ya wakurudi, Urusi na syria zimepeleka majeshi yake


Kiulisia Uturuki hatoweza mpiga Syria au Russia.


NB..napata hofu, Muuni anaweza akaamua kusonga mbele, mwisho wasiku NATO ikarudi kumsadia ....ingawa hii itazaa Vita kubwaaaaa
NATO hawawezi kufanya huo upuuzi. Apambane kivyake Erdogan.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom