World food index - 2019 - maajabu - Kenya/Tanzania

vulcan

JF-Expert Member
Apr 2, 2012
1,742
2,459
Hii ndiyo index ya food security ya dunia. Kenya number 86, Tanzania number 96.

Ndugu zangu Watanzania, mambo ya chakula mnadidimia, wakati Kenya inapaa. Kenya nusu yake ni jangwa. Aisee, au mnatulisha halafu mnajisahau.

1587938681641.png

1587939327286.png
 
Utafukua fukua kila kitu, ila on de ground mambo ni different, you die of hunger and you buy food from Tanzania.
Mention one incidence Tz tulinunua chakula from anywhere.

Sent using Jamii Forums mobile app
Because you are subsistence farmers, peasant farmers. Everyone is a peasant farmer. Your society is not advanced enough, as a nation develops fewer people engage in Farming.
 
Bring the numbers then

Sent using Jamii Forums mobile app
If I reckon, the world food index is numbers! Or maybe numbers mean something different in Tanzania? As shown Kenya ranks higher than Tanzania on the world food index.

Please refer to the image on the OP, or do you comment without going through the thread and fact checking?
 
Utafukua fukua kila kitu, ila on de ground mambo ni different, you die of hunger and you buy food from Tanzania.
Mention one incidence Tz tulinunua chakula from anywhere

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona sisi huwauzia EU maharage, dengu, matunda etc na bado kuna njaa
Kuna tofauti kati ya Wakulima ndani ya nchi kuzalisha chakula cha kutosheleza nchi, na wananchi wote kua na uwezo wa kununa chakula.

Labda uniambie kila mtu Tanzania ni mkulima, lakini kama si hivyo basi wale ambao si wakulima bado inawalazimu kununua hicho chakula, na kama hawana hela ya kununua basi watalala njaa hata kama Tanzania inazalisha chakula cha kulisha Africa nzima.

Kwahivyo kama wewe si mkulima, hakuna tofauti ya mkenya anae enda dukani na kununua mfuko mmoja wa unga wa mahindi (yalio agiziwa kutoka nje na kusagwa hapa Kenya), na mtanzania ane enda kununua unga wa mahindi (yalio zalishwa TZ na kusagiwa TZ). Huyo mkenya na Mtanzania wote wananunua dukani na pesa walizonazo mfukoni, wakikosa pesa hawatakua na uwezo wa kununua huo unga, haijalishi mahindi yalitoka wapi!

Hii ndio maana nchi kama Saudi Arabia au UAE hautaziona hapo kwa njaa ilihali wao hawazalishi chakula cha aina yeyote, wanaagizia kila kitu kutoka nje na wananchi wao wana uwezo wa kununua vyakula madukani.
 
Mbona sisi huwauzia EU maharage, dengu, matunda etc na bado kuna njaa????
Kuna tofauti kati ya Wakulima ndani ya nchi kuzalisha chakula cha kutosheleza nchi, na wananchi wote kua na uwezo wa kununa chakula....

Labda uniambie kila mtu Tanzania ni mkulima, lakini kama si hivyo basi wale ambao si wakulima bado inawalazimu kununua hicho chakula, na kama hawana hela ya kununua basi watalala njaa hata kama Tanzania inazalisha chakula cha kulisha Africa nzima.

Kwahivyo kama wewe si mkulima, hakuna tofauti ya mkenya anae enda dukani na kununua mfuko mmoja wa unga wa mahindi (yalio agiziwa kutoka nje na kusagwa hapa Kenya), na mtanzania ane enda kununua unga wa mahindi(yalio zalishwa TZ na kusagiwa TZ).... Huyo mkenya na Mtanzania wote wananunua dukani na pesa walizonazo mfukoni, wakikosa pesa hawatakua na uwezo wa kununua huo unga, haijalishi mahindi yalitoka wapi!

Hii ndio maana nchi kama Saudi Arabia au UAE hautaziona hapo kwa njaa ilihali wao hawazalishi chakula cha aina yeyote, wanaagizia kila kitu kutoka nje na wananchi wao wana uwezo wa kununua vyakula madukani
Inabidi uelewe kipimo wanachotumia hawa waandishi wengi ni irrelevant kwa Tanzania.Watanzania walio wengi wanaishi vijijini.a hawaihitaji pesa kununua chakula sababu wanalima for consumption.

Kwahio ishu ya food security labda kwa maskini wa mjini.Ambao na uhakika ukiwachukua hawawezi zidi hata 25% ya watanzania.

Things are very different for Kenya. Most of you need money to buy food.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inabidi uelewe kipimo wanachotumia hawa waandishi wengi ni irrelevant kwa Tanzania.Watanzania walio wengi wanaishi vijijini.a hawaihitaji pesa kununua chakula sababu wanalima for consumption.

Kwahio ishu ya food security labda kwa maskini wa mjini.Ambao na uhakika ukiwachukua hawawezi zidi hata 25% ya watanzania.

Things are very different for Kenya. Most of you need money to buy food.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na hata huko maashambani sio kila mtu ni mkulima.

Anyway kuhusu hio sentensi yako ya "Things are very different for Kenya. Most of you need money to buy food." Hili ni jambo hua nishawahi kujaribu kuelezea watanzania wenzako mara nyingi sana bila kufanyikiwa,labda wewe mmoja wao unaweza kujaribu.

Ukiskia Turkana kuna njaa na mtu amekufa, usianze kucheka eti Kenya hakuna chakula, Chakula kiko! hata kama kimeagiziwa kutoka nje, kiko na kinapatikana madukani, shida ni kwamba kuna maskini ambao hawawezi kununua hichi chakula cha madukani. Hawa maskini hua wanategemea mifugo au kupanda chakula (wakitegemea mvua) ili kupata lishe. Mvua ikikosekana basi hakuna nyasi za kufuga mifugo na hakuna maji ya kupanda chakula.

Kuna sehemu zengine Kenya huenda hata miaka mitatu au miine bila mvua kuonekana! Kama we ni maskini na unaishi huku!!! itafika wakati ukose la kula kabisa, na akwavile hauna uwezo wa kununua chochote basi utabaki kupunga upepo chini ya mti!!!

Asilimia 70 ya Kenya ni kame u inakaribia kua kame, Tofauti na Tanzania ambapo yule maskini hohe hahe ambaye hana uwezo wa kununua chakula bado anaweza kufuga mifugo au kupanda chakula akitumia maji ya mvua.

Lakini kwa upande mwengine,, sababu kubwa kwanini hauioni Kenya ikiwa mbele ya Tanzania kwa njaa hapo kwa World Hunger Index ni kwavile Wakenya wengi wanahamia kuishi kwenye maeneo yaliyo na rotuba, huko sehemu karme utapata ni watu wachache.

Yani kulingana na takwimu, 70% ya wakenya wanaishi ndani ya 30% ya ardhi. Au ukipenda kuna watu 30% ya wakenya wanaishi juu ya 70% ya ardhi.


Population-density-in-Kenya.png

Ukilinganisha huko ambako 70% ya wakenya wanakoishi na unagalie Satelite Image ya Kenya unagundua hao wakenya wamerundikana kwanye ardhi yenye rotuba alafu hayo maeneo kame ndo watu wengi wamekwepa.

390px-Kenya_sat.png
 
Kenyans are not that lazy and they know how to make money and how to use it.


Things are very different for Kenya. Most of you need money to buy food.
Can you use stones to buy food?
 
Kenyans are not that lazy and they know how to make money and how to use it.



Can you use stones to buy food?


No you can't may be you didn't get my point.

My point ni kwamba kuna watanzania wengi wanalima kujilisha wao kwahio wanachochakula ndani kutoka shamba.
MTU kama huyo anaweza akatumia less than 2 USD na akala vizuri na kushiba lakini bado sababu hana pesa nyingi nae atawekwa kwenye kundi LA watu wenye insecurity ya food kisa tu him/her ana earn very little amount of dollars in a year kitu ambacho haki make sense kwa maisha ya ki Tanzania

Wazungu wengi hawadeal na ukulima only very few ambao wana feed nchi nzima so for them having money translates to having food security however more than 75% of Tanzanians associate themselves in farming activities in one way or another.These are very different scenarios which lead to misrepresention of facts.
 
Back
Top Bottom