everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,627
- 15,017
hivihivi tunavyowaona wanasuasua ndo wanazidi kupaa ndoo watabeba!!! kila siku ukiwaona viwango vinaongezeka,Brazil tuliyoiona wakati wa kutafuta washiriki wa fainali za WC ni tofauti na hatua ya timu 32,tofauti kabisa na 16 bora na imeonekana tofauti robo final na hata semi itakuwa tofaut,hivyohivyo kigumugumu na kiudhaifu ndoo yao watabaki nayo.Sure, why not?
Lakini so far sijaona kiwango wala lile samba la kibrazil kuniconvince otherwise, team inacheza ikimtegemea sana Neymar, huruma za marefa na undava kama jana
Ujerumani so far wamequalify kutoka kwenye kundi gumu na wamekutana na mitahani miwili mitatu mpaka sasa, lakini wameweza kuhold their nerves na kupata matokeo bila kutumia dark arts kama Brazil