World Bank yaipongeza Kenya 2007

Kenyan-Tanzanian

JF-Expert Member
Nov 7, 2006
302
2
http://www.eastandard.net/news/?id=1143977166&catid=14

Sio siri tena kwamba Kenya imepiga hatua za kimaajabu kiuchumi na kisiasa tangu wamtimue mamlakani kigogo wa siasa za bwana kubwa Afrika, Daniel Moi.

Hivi sasa Kenya imetunukiwa kikombe cha pongezi pamoja na na nchi zingine za nne ikiwemo Mozambique, Mauritius, Bukina Faso na Ghana.

Afrika Mashariki sasa itawezatena kujivunia KENYA kama ilivyojivunia miaka ya 60s.

KENYA HOYEE!
 
http://www.eastandard.net/news/?id=1143977166&catid=14

Sio siri tena kwamba Kenya imepiga hatua za kimaajabu kiuchumi na kisiasa tangu wamtimue mamlakani kigogo wa siasa za bwana kubwa Afrika, Daniel Moi.

Hivi sasa Kenya imetunukiwa kikombe cha pongezi pamoja na na nchi zingine za Afrika nne ikiwemo Mozambique, Mauritius, Bukina Faso na Ghana.

Afrika Mashariki sasa itawezatena kujivunia KENYA kama ilivyojivunia miaka ya 60s.

KENYA HOYEE!
 
Ndambe

hongera kenya, munastahili sifa, lakini pia iwe challenge kwa Tanzania ili mwakani nasi tuwemo, mbali na kenya lkn pia Ghana inaonyesha maajabu siku hizi kila katika sekta basi wamo, na siri kubwa ya kwao ni kutilia mkazo katika elimu na pia kuwatumia wasomi wao waliokuwepo nje vizuri pamoja na kuimarisha demokrasi.



http://www.eastandard.net/news/?id=1143977166&catid=14

Sio siri tena kwamba Kenya imepiga hatua za kimaajabu kiuchumi na kisiasa tangu wamtimue mamlakani kigogo wa siasa za bwana kubwa Afrika, Daniel Moi.

Hivi sasa Kenya imetunukiwa kikombe cha pongezi pamoja na na nchi zingine za Afrika nne ikiwemo Mozambique, Mauritius, Bukina Faso na Ghana.

Afrika Mashariki sasa itawezatena kujivunia KENYA kama ilivyojivunia miaka ya 60s.

KENYA HOYEE!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom