Kenyan-Tanzanian
JF-Expert Member
- Nov 7, 2006
- 302
- 2
http://www.eastandard.net/news/?id=1143977166&catid=14
Sio siri tena kwamba Kenya imepiga hatua za kimaajabu kiuchumi na kisiasa tangu wamtimue mamlakani kigogo wa siasa za bwana kubwa Afrika, Daniel Moi.
Hivi sasa Kenya imetunukiwa kikombe cha pongezi pamoja na na nchi zingine za nne ikiwemo Mozambique, Mauritius, Bukina Faso na Ghana.
Afrika Mashariki sasa itawezatena kujivunia KENYA kama ilivyojivunia miaka ya 60s.
KENYA HOYEE!
Sio siri tena kwamba Kenya imepiga hatua za kimaajabu kiuchumi na kisiasa tangu wamtimue mamlakani kigogo wa siasa za bwana kubwa Afrika, Daniel Moi.
Hivi sasa Kenya imetunukiwa kikombe cha pongezi pamoja na na nchi zingine za nne ikiwemo Mozambique, Mauritius, Bukina Faso na Ghana.
Afrika Mashariki sasa itawezatena kujivunia KENYA kama ilivyojivunia miaka ya 60s.
KENYA HOYEE!