World Bank: Wasomaji Afrika mara nyingi hufelishwa na walimu

usiwasemee wenzio,

I believe kuna bado walimu wazuri tu,wanaochukulia watoto wa wenzao kama wa kwao,

hao priority kwao,ni kuwaona watoto wa wengine wakifaulu kama wao,

ndio maana nikasema ualimu ni wito,

nyie wengine hamna huo wito,

Lawyer atatafuta mama Ndalichako,a deal na nyie.................

kuna baadhi ya walimu,wako kazini bahati mbaya,kungekua na mchujo aisee.....

watu wanatafuta kazi hata ya kufundisha hawapati,nyie mna kazi bado mnatoa sababu za kijinga eti maslahi yenu duni....mmmmmmmnh

vitaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Heheeeheee eti ualimu witooo, endelea kujidanganyaa hivohivo. Ushauri wangu pambana na hali yako tafuta pesa upeleke mtoto private....kwenye walimu wanaojaliwa na kupewa motivation.

Ukimleta huku anarudi na zero jekunduuuuu...
 
Heheeeheee eti ualimu witooo, endelea kujidanganyaa hivohivo. Ushauri wangu pambana na hali yako tafuta pesa upeleke mtoto private....kwenye walimu wanaojaliwa na kupewa motivation.

Ukimleta huku anarudi na zero jekunduuuuu...

usidhanie hao wanaokuja uwafundishe ni watoto wa vibosile,

wengi ni watoto wa wafanyakazi wa kipato cha chini ama cha kati kama wewe Mwalimu,

sasa unapenda kabisaaa kuwaona watoto hawa wakifeli?
 
ila kweli katika sekta muhimu iliosahaulika kwenye awamu hii ni elimu, hasa walimu wanadharaulika kama nini ila wana kazi ngumu sana, leo hii nisingejua kuandika na kusoma kama sio walimu. Mwalimu khadija kama vile nakuona wewe ndio ulisababisha nikawa kichwa cha hesabu darasani ulinichapa sana dah sitakusahau popote ulipo Mungu akubariki.
Leo hii nimeajiriwa kwa sababu ya jitihada za walimu.
Uko sahh mkuu
 
Lazima ufelishwe tu...UNAJIFANYA ku date na binti ambaye mwalimu ana mtaka kimapenzi.?...au mwalimu wa kiume anataka BUMUNDA halafu msichana unamzinguwa?...hata mimi naku felisha tu....MALI KWA MALI.....yaani tuvione kwenye skirt na jeans tu?
 
toka mawaziri watatu, bodi ya mikopo na wanasiasa wamsakame mwanafunzi Frank Wa duce kwa kupigana na mwanafunzi mwenzake Wa Mbeya day sina hamu ya kufundisha.


kwa nini nguvu hiyo haikutumika kulaani waliompiga lisu?


watoto Wa wanaojitambua wapo st. school bus na mtoto Wa mpiga kelele na mshangiliaji tunae kayumba anajiandaa kupata zero au foooo ya mwish
 
Nyie wazazi wao si ndo mnashangilia tukitukanwa majukwaani, sasa nikiwajali watoto wenu wangu wajaliwe na nani?

Yani watoto wangu wapige miayo ya njaa huku Mimi nakomaa na watoto wenu? Never..
Wazazi wakomae na sirikali
 
Nimesoma shule ya msingi katika shule ambayo ilijulikana kama kati ya shule bora kabisa Tanzania. Darasa letu lilikuwa na watoto wa mawaziri mpaka rais, lakini mwalimu wa hesabu aliingia darasani mara tatu katika mwaka mzima wa darasa la saba.

Hiyo ilikuwa mbinu yake watu waende kusoma tuition.

Sasa wala siwezi kushangaa hizi habari.

Kama darasa alilosoma mtoto wa rais liko hivyo, huko vijijini kuko vipi?

Mwalimu nani huyo? Ndossi?

Manake sidhani kuna twisheni iliyokuwa inajulikana/ inasifika zaidi ya hiyo ya Ndossi:D
 
Sema videnti vya siku hizi vingi havina shule kazi kuvaa earphone chatting na mpenzi lazima tuwakamateee
 
Back
Top Bottom