Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Ndugu zangu,
Tuko vema kama WB wanavyokiri wenyewe
Tuko vema kama WB wanavyokiri wenyewe
Mwenye macho haambiwi tazama. Aibu kwa marais waliokuwa wanapiga dili hasa awamu ya 4 na 3.
Hyo ripoti ingesema umasikini utaongezeka mngesema ni mabeberu na wanachukia maendeleo. Wazee wa double standard.
Ni kweli kabisa hoja zenu zina mashiko ya uhalisia.Mwenye macho haambiwi tazama. Aibu kwa marais waliokuwa wanapiga dili hasa awamu ya 4 na 3.