World Bank Statement on Lifting the Suspension of Missions to Tanzania

Masikini hana Jeuri!

Wanaendelea kutufuatilia waone kama tutaheshimu kauli/ahadi zetu.

Hata hivyo,huu bado ni mtihani japo wameamua kuendelea kutusaidia.

Mpaka hapa mashoga ndio washindi na ushoga tume-upromote kisa kiki za kisiasa.

Tulikuwa tunakimbia mbio za sakafuni!!
Wanajua kuwa Tanzania sio jukwaa la ushoga ilo alina ubishi.
 
Hatimaye tumeufyata. Angalau shilingi yetu itapona sasa japo ni kinyume na utashi wetu.
 
Masikini hana Jeuri!

Wanaendelea kutufuatilia waone kama tutaheshimu kauli/ahadi zetu.

Hata hivyo,huu bado ni mtihani japo wameamua kuendelea kutusaidia.

Mpaka hapa mashoga ndio washindi na ushoga tume-upromote kisa kiki za kisiasa.

Tulikuwa tunakimbia mbio za sakafuni!!
Ndiyo tafsiri sahihi ya ushamba, pale unapo promote jambo bila kujifahamu. Wasingekuwa washamba, haya yasingetokea.

Wamepromote ushoga na wakati wala hakukuwepo na hilo tatizo. Ushamba ni mzigo mzito, gunia la misumari nafuu asee! Zitto bhana kwenye hili la ushamba ni genius.

No any other ways to explain these people.

Mshamba ,mara zote huwa anapatwa na matatizo ya kujitakia kwa kutokujuwa. Ambapo ndo maana halisi ya ushamba. Mshamba msikilziaji huwa ana nafuu kuliko mshaba mbishi na mwenye kujitia kujuwa. Hapo ni hasara tupiu!Shida ni hasara kwa Taiafa. Maana ushamba ukiwa hasara kwako na familia yako nani anajali?
 
KUPINGA USHOGA ni kuharibu sifa ya Taifa?
vipi Richard kwema lkn?
Kutokutumia akili ndo kuharibu taifa. Na wasiotumia akili watajiunga kwenye group lake la u myopia.

Hivi mbona watu huwa kama uwezo wa kufikiri ni shida sana now days? Huwa najiuliza sana hii kitu. what happened?

Watu vichwa nazi tu.
 
sikutegemea kama Tz kumechafuka namna hii.
nilidhani ni kenya tu. kumbe michezo hii michafu imetapakaa kila kona.

ndio maana maafa ya mafuriko na njaa Inatuandama kila mwaka kumbe sababu ya watu wa Sodomi.

Mungu tuokoe sisi tusiohusika.

Makonda hongera sana Bro.
bora tufe njaa lkn wachezea vinyesi wasiwepo TZ.
 
Kutokutumia akili ndo kuharibu taifa. Na wasiotumia akili watajiunga kwenye group lake la u myopia.

Hivi mbona watu huwa kama uwezo wa kufikiri ni shida sana now days? Huwa najiuliza sana hii kitu. what happened?

Watu vichwa nazi tu.
unatumia akili vipi KUPIGA VITA Ushoga zaidi ya kiongozi kusema HATUTAKI USHOGA TZ?

Unataka tulete siasa kwenye Kupinga USHOGA?
USHOGA ni LAANA Roman Israel.
Taifa zima liliangamizwa kwa Wanamme kutafuna wanamme wenzao.
Leo TZ tumepata kiongozi wa KUUPIGA VOTA HADHARANI watu mnamuita hana akili?
Hivi mbona USHOGA na Utanzania vilikuwa haviendi sambamba?
hii mambo Imeanza lini TZ.?
Daah.!!
Eeh Mungu tuokoe na Laana hii.
 
sikutegemea kama Tz kumechafuka namna hii.
nilidhani ni kenya tu. kumbe michezo hii michafu imetapakaa kila kona.

ndio maana maafa ya mafuriko na njaa Inatuandama kila mwaka kumbe sababu ya watu wa Sodomi.

Mungu tuokoe sisi tusiohusika.

Makonda hongera sana Bro.
bora tufe njaa lkn wachezea vinyesi wasiwepo TZ.
Wewe unafurahisha genge tu. Inaonyesha dailili ya tabia unazozipinga. Ni kama wale mapriest wakatoliki ambao wanapinga dhambi lakini wao ndo wenyewe kubaka watoto wa kiume. Na wengine pia huko madrassa.

Eti kumechafuka teh teh! ndivyo mlivyo ndo maana taifa liko hapa. Yani watu mnaongea na kufanya mambo ya kiusenge jazz band!
 
unatumia akili vipi KUPIGA VITA Ushoga zaidi ya kiongozi kusema HATUTAKI USHOGA TZ?

Unataka tulete siasa kwenye Kupinga USHOGA?
USHOGA ni LAANA Roman Israel.
Taifa zima liliangamizwa kwa Wanamme kutafuna wanamme wenzao.
Leo TZ tumepata kiongozi wa KUUPIGA VOTA HADHARANI watu mnamuita hana akili?
Hivi mbona USHOGA na Utanzania vilikuwa haviendi sambamba?
hii mambo Imeanza lini TZ.?
Daah.!!
Eeh Mungu tuokoe na Laana hii.
Kingozi gani kasema. Ndo maana hampendi kusoma. Kaangalie makaratasi ya serikalini nini msimamo wao hadi wakapewa hiyo ela.

Vingine ni ushabiki wa kishoga na ushamba wa kishoga vilevile aliousababisha mkuu wa mkoa Bahsite na jamii inalipa.

Ukifuata ushabiki utaendelea kuongea haya, lakini msaada umetolewa kwasababu gani?
 
hh

Hii ndo ilikuwa price ya kulift suspension na finally kupewa zile pesa
Pesa hazikatolewa wamelift suspensiob pending mabadiliko ya sheria ya takwimu na non harrasment of the homosexual community
 
Mimi nikajua wametoa pesa, kumbe wameondoa katazo kwa wafanyakazi wao kufanya safari Tanzania.
 
Ndiyo tafsiri sahihi ya ushamba, pale unapo promote jambo bila kujifahamu. Wasingekuwa washamba, haya yasingetokea.

Wamepromote ushoga na wakati wala hakukuwepo na hilo tatizo. Ushamba ni mzigo mzito, gunia la misumari nafuu asee! Zitto bhana kwenye hili la ushamba ni genius.

No any other ways to explain these people.

Mshamba ,mara zote huwa anapatwa na matatizo ya kujitakia kwa kutokujuwa. Ambapo ndo maana halisi ya ushamba. Mshamba msikilziaji huwa ana nafuu kuliko mshaba mbishi na mwenye kujitia kujuwa. Hapo ni hasara tupiu!Shida ni hasara kwa Taiafa. Maana ushamba ukiwa hasara kwako na familia yako nani anajali?
Wanavuna walichopanda.Kingine kinachowagharimu hawa watu ni kukosa maarifa.Shauri yao!
 
Wewe unafurahisha genge tu. Inainyesha dailili ya tabia unazozipinga. Ni akama wale maproest wambao wanapinga dhmabi lakini wao ndo wenyewe kubaka watoto wa kiume. Na wengine pia huko madrassa.

Eti kumechafuka teh teh! ndivyo mlivyo ndo maana taifa liko hapa. Yani watu mnaongea na kufanya mambo ya kiusenge jazz band!
Dah....
nilidhani naongea na mtu.
kumbe Mboga...
Hivi hamna aibu nyie wasodomi?
kweli bila chembe ya aibu unakubali kupulizwa kisogo na dume km wewe?

manina watoto nyie mna laana ya jadi.

Nahama uzi fasta nisije kupigwa radi.
kafe mbele Elton John manina zenu wote.
 
Wanavuna walichopanda.Kingine kinachowagharimu hawa watu ni kukosa maarifa.Shauri yao!
Kukosa maarifa ndo namba moja. Hakuna anayependa ushoga nchini mwetu. Yale yae ya kujitia kujuwa. Sasa ni wao wameupromoti, na wamehongwa pesa waukubali. HALAFU KUNA WANAOKUJA HAPA NA KUBANA PUWA KUMSIFIA BASHITE WAKISEMA ETI "MASIKINI JEURI" MY FOOT!
 
Dah....
nilidhani naongea na mtu.
kumbe Mboga...
Hivi hamna aibu nyie wasodomi?
kweli bila chembe ya aibu unakubali kupulizwa kisogo na dume km wewe?

manina watoto nyie mna laana ya jadi.

Nahama uzi fasta nisije kupigwa radi.
kafe mbele Elton John manina zenu wote.
Rudi madrasatuli laanatul wewe. Huko si ndo mnafundishwa toka utotoni na elimu hamna. Hapa unaonyesha bichwa tope wewe!Lenu moja nyie mashoga na masheicj ubwabwa. Changanya makalio peleka yakapewe grisi kama ndo unavyotaka. Nawafahamu sana humu ninyi.
 
WASHINGTON, November 20, 2018

During a meeting between His Excellency President John Pombe Magufuli and the World Bank’s Vice President for Africa, Hafez Ghanem, the President assured the Bank that Tanzania will not pursue any discriminatory actions related to harassment and/or arrest of individuals, based on their sexual orientation.
As a member country of the World Bank Group, Tanzania endorsed the Bank’s new Environment and Social Framework (effective October 2018), that strengthens the Bank’s commitment to social inclusion of vulnerable and disadvantaged people and non-discrimination on the grounds of their age, gender, ethnicity, religion, physical, mental or other disability, social, civic or health status, sexual orientation, gender identity, indigenous heritage and economic status.
Given the assurances by the Tanzanian authorities, and following an internal security assessment, the World Bank’s management, in consultation with its staff in the country, and other development partners, has decided to lift the suspension on missions to Tanzania, while at the same time carefully monitoring the situation to assess the prevailing circumstances, and take the appropriate actions.
The World Bank believes in empowering all people to participate in, and benefit from, the development process; and that eliminating discrimination, including against lesbian, gay, bisexual, transgender, and intersex (LGBTI) people, is critical to ensuring sustained, balanced and inclusive economic growth in all societies.

Contacts

Washington
Steven Shalita

+1 (202) 473-5201
sshalita@worldbank.org


World Bank Statement on Lifting the Suspension of Missions to Tanzania


SWAHILI VERSION

Wakati wa mkutano kati ya Rais Mkuu John Pombe Magufuli na Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia kwa Afrika, Hafez Ghanem, Rais aliwahakikishia Benki kwamba Tanzania haitatekeleza hatua yoyote ya ubaguzi kuhusiana na unyanyasaji na / au kukamatwa kwa watu binafsi, kulingana na mwelekeo wao wa kijinsia .
Kama nchi ya mwanachama wa Kikundi cha Benki ya Dunia, Tanzania iliidhinisha Mfumo mpya wa Mazingira na Jamii (Ufanisi Oktoba 2018), ambayo inaimarisha ahadi ya Benki ya kuingiza jamii ya watu walioathirika na wasio na ubaguzi kwa sababu ya umri wao, jinsia , ukabila, dini, kimwili, akili au ulemavu mwingine, kijamii, jamii au hali ya afya, mwelekeo wa kijinsia, utambulisho wa kijinsia, urithi wa asili na hali ya kiuchumi.
Kutokana na uhakikisho wa mamlaka ya Tanzania, na kufuata tathmini ya ndani ya usalama, usimamizi wa Benki ya Dunia, kwa kushauriana na wafanyakazi wake nchini, na washirika wengine wa maendeleo, imeamua kuinua kusimamishwa kwa misheni Tanzania, wakati huo huo ufuatilia kwa uangalifu hali hiyo ili kupima hali zilizopo, na kuchukua hatua zinazofaa.

Benki ya Dunia inaamini kuwawezesha watu wote kushiriki, na kufaidika na, mchakato wa maendeleo; na kwamba kuondokana na ubaguzi, ikiwa ni pamoja na dhidi ya wasagaji, mashoga, wasio na jinsia, transgender, na intersex (LGBTI), ni muhimu kuhakikisha ukuaji wa kiuchumi unaoendelea, wenye usawa na wa pamoja katika ukuaji wa uchumi.
Nadhani Rais Magufuli atakuwa amejifunza mambo kadhaa katika mahusiano ya kimataifa, na hatarudia makosa ya aina hii huko mbele. Kwamba hata kama Rais wa Tanzania ana mamlaka makubwa sana, na anaweza kuwa DIKTETA ndani ya katiba, lakini huko nje ni mtu wa kawaida sana tu. Kwamba unweza kuwa unachukia kitu, mfano USHOGA, lakini huko duniani, Mashoga wamejijenga sana. Hivyo inabidi uchunge mdomo wako unaposema hili na lile.

Lakini japokuwa ilihitaji Benki ya Dunia kutumia UDIKTETA WAKE ili kumweka sawa Rais wetu katika suala la hawa mabinti wanaopata ujauzito wakiwa shuleni, bado nimefurahi sana kwamba hili limewezekana. Binafsi sikubaliani kwamba binti ambaye hata hajaelewa maana ya maamuzi yake, aadhibiwe namna hiyo. na kuna hao wanaobakwa na wengine kama hao. ni VICTIMS.

Lakini bado kuna nafasi ya kujifunza. Ni hatari sana Rais kutamka wazi kwamba unatambua wananchi wanahitaji Katiba Mpya, halafu wewe peke yako unasema SITAKI. Hapa napo anaweza kujikuta ana la kujfunza. Wakati ni mwalimu mzuri sana.
 
KUPINGA USHOGA ni kuharibu sifa ya Taifa?
vipi Richard kwema lkn?
kuna kupinga ushoga na kutafuta kiki kupitia ushoga kitendo chake cha kutokutambua dunia ilivyo ndio upuuzi kwann asingedili nao kijasusi zaid? sasa kuropoka kwake kutafanya mashoga watetewe na nchi zote za kishoga na wajione wana haki hii itafanya ushoga uzidi
 
Back
Top Bottom