JET SALLI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 1,986
- 1,190
mkiwakabidhi vilaza nchi lazima Haya yatokee,Rais wa nchi anatengewa Tshs 50 billion kwa ajili ya kusafiri hv kweli hizi ndio akili za watu weusi,yaani WANAUME huko ULAYA na ASIA wanafadhili serikali zetu ss tunachukua pesa tunasafiria na kununua magari ya kifahari bila hata haya wala soni.TUNAZIOMBA nchi zinazotufadhili ziache kabisa kuleta fedha kupitia mikono ya watu wasio na akili kama MZEE wa tezi dume na mashetani wote wa CCM ambao wameamua kumfuata shetani na kutembea nae.Haiwezekani Kuwa na serikali inayoishi kifahari katika kundi kubwa la watu maskini.Huu ni UNYAMA wa wazi tunatendewa watanzania.CCM HAIKUBALIKI,HAIKUBALIKI,HAIKUBALIKI NA IPOTEE NA MASHETANI WAKE WOTE.