NaimaOmari
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 801
- 46
Words Women Use;
"Huli???"
..Swali hili mara nyingi linakuja pale chakula kishatengwa mezani, yeye ameshakaa mezani tena keshaanza kula! mind you, kawaida yke ni kukwambia 'chakula tayari mume wangu'.
"Usiniguse!!!"
..Imagine unataka kuua so japo kwa kumpa 'usiku mwema' mwenzako, hapo inakubidi spidi ya kuurudisha mkono iende sambamba na spidi linapotoka tamko hilo!
..mara;msonyo mkali una 'pierce your ears'!!!!,
kisa...unagara gara kitandani ukihesabu boriti, maana usingizi haupatikani, na wakati huo huo unajiuliza kesho ikiwa hivi sijui usirudi nyumbaniiii...???
Mtu anatenga chakuka unamwangalia hata hushituki kujuwa kwamba unahitaji kuja kula mpaka akuambie ... na maji bafuni akwambie ... kila kitu tu akuambie atafanya mangapi jamani????.
Kwa staili hii ya utumwa .. kila kitu nikufanyie hata kukushtua ubongo ilihali macho yako yanaona .. kutwa nzima nakuhangaikia kukupia kukufulia na maandalizi mengine ya nyumbani ... hata neno zuri hunipi unataka tu haki yako .. hakiyanani sikupi .. kwani hamna raha bali itakuwa ubakaji na karaha tu .. akilazimisha unamwambia haya fanya ukimaliza nifunike ... unamwacha anakukuruka mwenyewe kwani ndiye mwenye raha