Rais JPM inabidi akafanye ziara ya kushtukiza TFF ..na safari za nje zifutwe hadi kwa timu ya taifa...
Niliweka Algeria win sportpesa and BOY am u waiting for that win God willing
Tanzania imepata 6 yellow cards
1 red card
And 5 goals to nil
Waaaah!!! Aiseeeey
Cape Verde v kenya 0-0 37'
Hehehehe!! nishawaambia mara nyingi Wabongo hampo tayari kwa mambo ya kimataifa/globalisation. Mbakie humo humo Bongo na mambo ya Simba vs Yanga na viduku usiku.
Hii aibu mjifiche mvunguni, ama mfute kama mlivyofanya uchaguzi wa Zanzibar
msemakweli MOTOCHINI kadoda11
Masuala ya kimataifa hawawezani nayo kabisaa. Lakini si nilidhani kwa mpira wako angalau afadhali.....sasa hii!
What then are these pipo really good at, kubeza tu?
Rais JPM inabidi akafanye ziara ya kushtukiza TFF ..na safari za nje zifutwe hadi kwa timu ya taifa...
Hao ni wataalamu wa kufanya kwa mdomo,ukiwasikia wakiongea utadhani hata brazil wataona uoga kusakata nao dimba.Ikifika ni kufanya,hao!wameingia maficho vijiweni!
Wachezaji wana slogani kwamba hata wakishindwa watajecha na kulubuva matokeo. Kwani hamkumsikia Pinda "acha wapigwe tu". ccm oyeeeeee