U can't blame the designers,nor can u blame us! With the current shortage of everything! Huoni hiyo teitei ya mwanzo material yake inatoa hizo g-string 100!
Mazingira yetu kwa kawaida ni machafu hata hizo clubs vumbi kibao tu na hivyo nirahisi kwao kupatwa na magonjwa kwa stage waliofikia ya chupiless. nadhani ndio maana masista du kibao siku hizi wanasumbuliwa na miwasho ya ajabuajabu na UTI
Kuna aina nyingi na kila moja na kazi yake hivo tulia mkuu, na kuna wakati inahitaji usivae pia.... (tatizo ni pale tu watumiaji kama hawajui wapi watumie ipi ama wasitumie kabisa)
Kuna aina nyingi na kila moja na kazi yake hivo tulia mkuu, na kuna wakati inahitaji usivae pia.... (tatizo ni pale tu watumiaji kama hawajui wapi watumie ipi ama wasitumie kabisa)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.