Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hapo sasa... Mi naona kama watu wanajitafutia sababu tu.
Umeona suali la Binti Maringo? What about men who cheat? Pia kuna wanawake hawana mvuto sana (kwa macho yangu)
Ila unakuta they cheat too. Hapo research hii inasemaje sasa?
Hizi interpretation za research hasa za wamarekani, mimi huwa nina reservation nazo sana tu!
Si ajabu; results zinasema watu wenye estrogen nyingi wako more active sexually; waoh wakahusisha na cheating!
Mmmmh perhaps yes....
Hivi ukiwa aktivu sexually na una mume hawezi kazi kuna kuepuka cheating hapo?
Hivi ukiwa aktivu sexually na una mume hawezi kazi kuna kuepuka cheating hapo?
Hivi cheating ni pamoja na masturbation?
Unaweza cheat, au ukawa woman enough na kumuacha na kumtafuta mwingine ambaye mko same level!
Kupo sana tu, unamsaidia afikie kiwango ikishindikana kabisa na hilo swala unajua ni muhimu sana kwako unaomba talaka.
Erotica na Kaunga, nimepekua archives za JF na nimepata a case where the man is not performing, Mwanamke was. Ndio case mentioned on the first page of this thread. Ila naona dada kaja na ubunifu mzuri tu, wala sio cheating. please find her case here: https://www.jamiiforums.com/mambo-ya-kikubwa/22204-m-o-artificial.html
Kama sex haina kipaumbele basi uvumilivu na kusaidiana kunahusika sana ndio maana nikasema kama sex sio muhimu sana(yani sio namba moja) mnaweza mkaendelea kusiwe na kucheat. Ngoja Baba Ashrat nae aje aweke senti zake hapa nijue anachukuliaje hili swala. Usikute mwenzangu siku perfomance ikishuka tu ndio nimempoteza.mwanaume ambae hawezi hawezi tu! ukilazimisha utaishi mada case.
Kwa hio unakubaliana kua ni kuachia ngazi. Kwa ndoa ambazo zimeunganishwa zaidi na
mambo mengine ambayo sio sex inakuaje?
Ndugu yangu weee usijipe presha ya bure!Ukishajua ana high levels utashusha au?? not everything that is said is of universal application jamani.So dont get paranoid about this estrogen thingy!
Mark you, even low estrogen levels can cause huge problems -memory loss,mood swings,thinning of skin and hair,low bone density,lsagging of breasts,loss of libido etc.
Kwa faida ya wenye kutaka kujua zaidi - estrogen huwa inapungua kufuatana na umri unavyoongezeka.Hivyo wanawake wanashauriwa kula vyakula vyenye virutubisho vya kutosha haswa calcium,wale matunda na mbogamboga kwa wingi,na kufanya mazoezi.
Kua woman enaf kumuacha mume katika ulimwengu wa ndoa za kidini hasa kikristo ni ngumu kumeza.
mwanamke ambae yupo hasa active ki sex, masterbation hata aki cum ni kama warm up.
Erotica na Kaunga, nimepekua archives za JF na nimepata a case where the man is not performing, Mwanamke was. Ndio case mentioned on the first page of this thread. Ila naona dada kaja na ubunifu mzuri tu, wala sio cheating. please find her case here: https://www.jamiiforums.com/mambo-ya-kikubwa/22204-m-o-artificial.html
Kama sex haina kipaumbele basi uvumilivu na kusaidiana kunahusika sana ndio maana nikasema kama sex sio muhimu sana(yani sio namba moja) mnaweza mkaendelea kusiwe na kucheat. Ngoja Baba Ashrat nae aje aweke senti zake hapa nijue anachukuliaje hili swala. Usikute mwenzangu siku perfomance ikishuka tu ndio nimempoteza.
Najua, lkn kuliko kutokuwa mwaninifu ni bora kuachana. After all cheating peke yake ni anti-Christian. Kumuacha mume ni kumpunguzia maumivu ya lifetime, kwa kumpa maumivu say ya Mwaka mmoja!
Bwana sijui kuhusu mtu aliye hyper, lkn normal sexual active; unacome hata kwa vitu kama licking, fingering etc kwa huyo huyo mwanaume ambaye libido yake ni ndogo. Ni swala la kuelewana tu!
Nomo active can ovakam hilo tatizo. hapa ni yule ambae yupo hyper. refer post #37 hapo inakuaje?