mwambie kwanza gaga abadilishe heading,....heri mm sijasema bana
Anawapotosha huyo hakuna analolijuwa kuhusu wanaume huyo, yote aliyoandika hapo ni sifuri.
1. heshima
2. Ufundi kunako 6 kwa 6
3. Mapishi
4. economy, ujuwe jinsi ya kusave matumizi na sio kufuja pesa
5. usafi wa nguo na mwili na nyumba kwa ujumla.
6. uvumilivu wakati wa misukosuko ya kimaisha, hasa kipindi uchumi unapoyumba.
Nb: wanawake wenye mvuto sana machoni pa wengi si chaguo la wanaume walio wengi kuwa wake zao wa maisha ila kwa ajili ya mitoko tu na kuspend hii ndio sabau hata mamiss unaona hawaolewi. huyo Gaga anawapotosha vibaya mno.
Bwahahahahaaa....nyie wadada msichuzwe na Gaga. Kwanza huyu si keshawahi kutamka wazi hapa kuwa alimchiti mwenzake? Take it from me, her advice is not worthwhile.
That is not fair... Naona hapo Matola kisha tupatia moja ya Man's perspective... ONGEZA bana... iendane na nini kikufanye uone wivu...lol
swali la uzushi,..'kwani mnapenda muonewe wivu',...maake nimeona thread nyingi tu za akina dada wakigomba kwa ajili ya wanaume wenye wivu,...hebu nanyi tuzeni hili plz
The whole concept is void. Huwezi kuwa mwanamke wa 21 century lakini uka-go out of your way to please or make a man jealous
21 century woman live for herself and do not get in an act for a man
Wivu kwa 1OO% ni sababu ya mwanaume kutojiami hakuna kingine, au labda pale mwanaume anapoyumba kiuchumi hili swala utokea kuogopa/ kuhisi kwamba unaweza kumcheat kwa sababu ya financial arrasment aliyonayo.Matola hii nimeipenda... sasa naomba utupe muongozo ni kitu gani hufanya nyie wanaume muone wivu....
You can not claim to be a 21st century woman while you live in the environments of 19th century... It is like pretending to be someone else...
NN huo ushauri wa Gaga not worthwhile sababu content ni sio Practical... au sababu kawahi Cheat??
Yeye ndie aliyesema kuwa ni 21 century woman sio mimi.
Au hujaiona?
Na ikiwa mpo kwenye 19th century environment kutaka kufanya ya 21 century woman si kuigiza huko?
Haaaa bora kutamka na kubadilika au kukaa kimya nionekane mtu mzuri, any way nimesahau kwamba ww ni she mwenye ID ya he, na sio kila unachosoma ukichukue mpendwaBwahahahahaaa....nyie wadada msichuzwe na Gaga. Kwanza huyu si keshawahi kutamka wazi hapa kuwa alimchiti mwenzake? Take it from me, her advice is not worthwhile.
Not worthwhile because it is not down-to-earth. But different strokes for different folks.
Gaijin mambo lakini, niliposema 21 century ni katika kupambisha kwamba tuko modern zaidi, hata hivyo kuiga sio kubaya kama ni kwa manufaa looo naona watu washaibuka na roho zao mbayaYeye ndie aliyesema kuwa ni 21 century woman sio mimi.
Au hujaiona?
Na ikiwa mpo kwenye 19th century environment kutaka kufanya ya 21 century woman si kuigiza huko?
Wivu kwa 1OO% ni sababu ya mwanaume kutojiami hakuna kingine, au labda pale mwanaume anapoyumba kiuchumi hili swala utokea kuogopa/ kuhisi kwamba unaweza kumcheat kwa sababu ya financial arrasment aliyonayo.
Lakini kuna wanaume wengi washamba tu ambao hata huwezi kujuwa kihuhakika wivu wao unasababishwa na nini, lakini hizo hapo juu ndio sababu za msingi.
Gaijin mambo lakini, niliposema 21 century ni katika kupambisha kwamba tuko modern zaidi, hata hivyo kuiga sio kubaya kama ni kwa manufaa looo naona watu washaibuka na roho zao mbaya