Women issues [maalum kwa wanawake wa JF]

ladyfurahia

JF-Expert Member
May 10, 2011
14,699
9,455

hii ni kwa wanawake na wadada wa jf

nina jambo nataka kuwashirikisha hasa wanawake wa jf kama watapenda kuwa tayari katika kujisajiri katika group la women issues basi wasisite kujitokeza na kujisajiri

nimpenda kuwashirikisha mambo kadhaa ya kufanya kama wanawake kabla hatujamaliza mwaka huu,
kwani wanawake ndo msingi na nguzo ya familia na vilevile wanawake tunaweza tukipewa naafasi katika ngazi mbalimbali.


issue ya 1. Kuanzisha kitu au biashara kuwa wajasiliamali wa jf
ambayo tutaweza kutuinua na kutufanya tusiwe tegemezi kwa wanaume kuwa na mapendekezo au mchango wa maoni , ushauri, ni kitu gani tuanzishe ili tuwe. Kwa hiyo mwanamke wa jf changamkia tenda hii toa maoni , ushauri wako

issue 2: Kuwa na chombo cha wanawake wa jf
ambacho kitatetea maslahi ya wanawake hususani katika ukandamizaji juu ya mfumo dume uliopo na kuwainua wanawake ambao hawajiwezi km vile; walemavu, wenye matatizo ya uzazi, magonjwa ya kufisha na wanawake walioko vijijiini n.k, kuwatembelea na kujua matatizo yao na kuweza kuwasaidia kwa namna moja ama nyingine.

isuue 3: Utamaduni na desturi za mwanamke wa kitanzania ziweje
hii itahusika na maadili ya mwanamke wa kitanzania aweje na mambo mengine ya kitamaduni
mavazi, maisha kwa ujumla


issue 4: Mambo ya burudani
yaani tuwe na studio yetu wenyewe ambayo tutaimiliki na tuwe na na vitu ambavyo tutafanya vya burudani ili kutunisha mfuko wetu wa women issue.

issue 5: Mambo ya kitabibu na kisaikolojia zaidi,
tuwe na watu waliosomea mambo ya cancelling, ushauri na mambo ya kitabibu tuwapo katika
vikao vyetu ama makongamano yetu ambayo tutawaita wataalamu na kutufundisha zaidi
maisha ya uzzazi wa mpango na mambo ya ndoa na maisha kwa ujumla.

issue 6: Tuwe na mambo ya ujasiliamali
mwanamke ni nguzo ya familia hivyo hana budi kuwa mchapakazi ili kuinua uchumi wa familia
yake.

kama kuna mambo mengine ambayo sijayaoroddhesha hapa basi wewe mwanamke wa jf naomba ushirikiano wako na mchango wako wa ushauri namna gani tufanye ili tuweze kuwa kitu kimoja ndani ya jf hii na ili tuweze kutambuana na kuinuana kama wanawake wa jf, ili ni jambo jema tena la busara kuwa pamoja kwa umoja na kufanya jambo au kitu kwa pamoja ni jukwaa la wanawake wa jf. Basi usisite kutwanga hapa mtazamo wako tufanye nini ili tuinuane wanawake wa jf.
Sikakatai ushauri, maoni, mapendekezo, au jambo lolote liwe jema au baya we twanga tu tutasaidiana na kama mnataka lilni tuanzishe kitu hiki basi msisite kusema hapa.
Natumia tuko pamoja


slogan: 'tutajenga women issue kwa umoja na upendo'
 
Hiyo namba tatu! Mmh.
Hongera kwa wazo zuri. Unamaanisha huo umoja wa humu humu jf nyuma ya key board ama mbele zake?
 
Wanasema mkataa wengi mchawi ila seriously hizi makitu za umoja wa wanawake huwa sioni umuhimu wake kiviile. Kule fb nina magurupu kama mia, hata siyaelewi. Sijui tumeet, mara kusutana, mara kusaidiana. Sasa mie nikianza kuomba wanichangie ninunue nyumba upanga kwa milioni 210 si wataniona nawa-natalia?

Kweli, im too old for these umojas. Mie niwatafute wabibi wenzangu kina Kongosho na AshaDii tuone jinsi ya kuchakachua mirathi Paw akidead nisiumbuke.
Kuanzia 18 yrs Catherine, ila wazee kama King'asti hapana!



Mleta mada mie bado nakusoma manake kama vile sijakupata vizuri, labda kwa vile nimesoma kwa haraka, nkitulia ntasoma tena then ntakuja kusema chochote!
 
Last edited by a moderator:
Wanasema mkataa wengi mchawi ila seriously hizi makitu za umoja wa wanawake huwa sioni umuhimu wake kiviile. Kule fb nina magurupu kama mia, hata siyaelewi. Sijui tumeet, mara kusutana, mara kusaidiana. Sasa mie nikianza kuomba wanichangie ninunue nyumba upanga kwa milioni 210 si wataniona nawa-natalia?

Kweli, im too old for these umojas. Mie niwatafute wabibi wenzangu kina Kongosho na AshaDii tuone jinsi ya kuchakachua mirathi Paw akidead nisiumbuke.

waoo kumbe Kongosho ni bibi? usiniambie.
 
Last edited by a moderator:
Hivi vyombo vya wanawake mbona sijawahi ona vikimsaidia kwa lolote bibi yangu na wanawake wenzake kule kijijini?
Sorry kumbe ni kwa wamama tu!!! Bye..........:car:
 
Post imedoda. Kwa sababu hujaongelea watu kwenda kupigwa miti. Au hujazungumzia kitchen party. Sorry for a harsh comment lkn wanawake kwa ujumla lazima muje na mawazo kama haya. Oooops sorry, am a man
 
Mke wangu sitaki kabisa mzoeane naye nyie walanguzi wa wake za watu kwa teknologia ya digitari.
 
ni kuanzia miaka 18 na kuendelea yaani mpaka miaka 90 kama yuko mwanamke kama huyo

hii ni kwa wanawake na wadada wa jf

nina jambo nataka kuwashirikisha hasa wanawake wa jf kama watapenda kuwa tayari katika kujisajiri katika group la women issues basi wasisite kujitokeza na kujisajiri

nimpenda kuwashirikisha mambo kadhaa ya kufanya kama wanawake kabla hatujamaliza mwaka huu,
kwani wanawake ndo msingi na nguzo ya familia na vilevile wanawake tunaweza tukipewa naafasi katika ngazi mbalimbali.


issue ya 1. Kuanzisha kitu au biashara kuwa wajasiliamali wa jf
ambayo tutaweza kutuinua na kutufanya tusiwe tegemezi kwa wanaume kuwa na mapendekezo au mchango wa maoni , ushauri, ni kitu gani tuanzishe ili tuwe. Kwa hiyo mwanamke wa jf changamkia tenda hii toa maoni , ushauri wako

issue 2: Kuwa na chombo cha wanawake wa jf
ambacho kitatetea maslahi ya wanawake hususani katika ukandamizaji juu ya mfumo dume uliopo na kuwainua wanawake ambao hawajiwezi km vile; walemavu, wenye matatizo ya uzazi, magonjwa ya kufisha na wanawake walioko vijijiini n.k, kuwatembelea na kujua matatizo yao na kuweza kuwasaidia kwa namna moja ama nyingine.

isuue 3: Utamaduni na desturi za mwanamke wa kitanzania ziweje
hii itahusika na maadili ya mwanamke wa kitanzania aweje na mambo mengine ya kitamaduni
mavazi, maisha kwa ujumla


issue 4: Mambo ya burudani
yaani tuwe na studio yetu wenyewe ambayo tutaimiliki na tuwe na na vitu ambavyo tutafanya vya burudani ili kutunisha mfuko wetu wa women issue.

issue 5: Mambo ya kitabibu na kisaikolojia zaidi,
tuwe na watu waliosomea mambo ya cancelling, ushauri na mambo ya kitabibu tuwapo katika
vikao vyetu ama makongamano yetu ambayo tutawaita wataalamu na kutufundisha zaidi
maisha ya uzzazi wa mpango na mambo ya ndoa na maisha kwa ujumla.

issue 6: Tuwe na mambo ya ujasiliamali
mwanamke ni nguzo ya familia hivyo hana budi kuwa mchapakazi ili kuinua uchumi wa familia
yake.

kama kuna mambo mengine ambayo sijayaoroddhesha hapa basi wewe mwanamke wa jf naomba ushirikiano wako na mchango wako wa ushauri namna gani tufanye ili tuweze kuwa kitu kimoja ndani ya jf hii na ili tuweze kutambuana na kuinuana kama wanawake wa jf, ili ni jambo jema tena la busara kuwa pamoja kwa umoja na kufanya jambo au kitu kwa pamoja ni jukwaa la wanawake wa jf. Basi usisite kutwanga hapa mtazamo wako tufanye nini ili tuinuane wanawake wa jf.
Sikakatai ushauri, maoni, mapendekezo, au jambo lolote liwe jema au baya we twanga tu tutasaidiana na kama mnataka lilni tuanzishe kitu hiki basi msisite kusema hapa.
Natumia tuko pamoja


slogan: 'tutajenga women issue kwa umoja na upendo'
 
heee jamani mbona umefika mbali huko sisi sio walanguzi wala wababaishaji bhan mkalikenya mwambie ajiunge aone utamu wake ulivyo aje kucheza ngoma za huku bongo sio akae huko kenya tu ajifunzevya bongo bhana
Mke wangu sitaki kabisa mzoeane naye nyie walanguzi wa wake za watu kwa teknologia ya digitari.
 
heee jamani wanaume mbona mnaingilia mambo ya wanawake hayawahusu ninyi nanyi wekeni mambo yenyu na myaongelee jamani heeeeee
sijapenda kabisa hii kitu hapa hasa wewe moto2012 khaa
khaaaaaah! we umechafua hali ya hewa!!
 
wewe umeshazoea kupewa nini? kwani hujaona chombo cha TAMWA kinavyofanyakazi yake hujawaoona wanawake wakiwasaidia wanawake wa vijijini unaishi mbingu hipi wewe? ya hapa duniani au uko ahera? angalia tena wewe yaelkea ni mwanaume hapa ni wanawake maalum tu na sio wewe acha hivyo mwambie bibi, dada na mama yako wajiunge uone kama hatutawaiidia weeeeeeeeeeeeeeeeee
Hivi vyombo vya wanawake mbona sijawahi ona vikimsaidia kwa lolote bibi yangu na wanawake wenzake kule kijijini?
Sorry kumbe ni kwa wamama tu!!! Bye..........:car:
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom