Morgan Fisherman
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 1,799
- 2,074
short n clearTulikua na mtoto so nilijiwekea moyoni kama asiponioa basi vitamsaidia mtoto wangu sababu tulivyoanza tu mahusiano nikapata ujauzito.
Kingine, ndani ya hicho kipindi nilichokua nae nilikua namsoma na nikagundua ni mtu sahihi sana kwangu, hata ingetokea ajanioa ningejua ni mipango tu ya Mungu lakini alikua anaonyesha dalili zote za kutotaka kunipoteza.