Wolper na msongo wa mawazo hii imekaaje

mwanaMtata

JF-Expert Member
Oct 18, 2014
2,393
1,432

Mapenzi kati ya mastaa na mastaa hua inakua na mwisho mbaya hasa kwa wabongo.
wengi wanaishi kikiki na kupendana kikiki. Wanasahau mapenzi ni baina ya watu wawili na kutunziana siri. Tazama yalomkuta Wolper
 
Kuwa celebrity bongo ni balaa., hata ukijamba wataandika mitandaoni kijambo kilikuwa kinatoa harufu inayofanana na nini. No big news for celebrities in bongo land than love affairs
 
Kama ni harufu mbaya kuna shida, Natural smell sio mbaya
Kuna mdada alikua yeye ana harufu flani ivi kwenye kwappa yani hata asugui ilo kwapa na muarobaini bado itatoka. Natural ilikua si pleasant. Saa zote alikua anajijaza pafyuum tuu
 
MTU mzima kulala na vijana wadogo unategemea nini???.....laana inatembea, yaani mda wote huo wamevuana michupi alafu anasema hamuongelei....huhuhuhuhu!... Acha vijana wawashikishe adabu maana mnapenda vya bureer!
 
Back
Top Bottom