Wolper na Aunty Ezekiel wavuana nguo hadharani, kisa madeni

Ila Aunty nyie mtambo, mtu unadaiwa na bado unakua mkali na vichambo juu , halafu nasikia ndo Tabia yake kutapeli watu ukimdai team yake inakuvamia wanaanza kuzusha unatafuta kiki , ila safari hii kagonga mwamba wolper hanaga mchezo na pesa cheusi dawa atalipa tu pesa ya watu.

Kila mtu anamtunishia kifua mwenzie kuwa si lolote, ila ikumbukwe aunty ezekiel ni mtoto wa mjini na wolper kaja juzi mjin na ile mifuko ya shangazi kaja, na ki ukweli wolper hampati kwa mafanikio aunty ezekiel japokua ndio ni tapeli ila aunty ezekiel namba nyingine ile

Wanachofanana tu ni kulea viserengeti boy, akili zao zote zinaendana, wote ni wapambanaji ila hela zao zote wanahonga wanaume, halafu nasikia wolper katoa mimba kubwa tu ya rich mitindo

View attachment 1742523
Hivi tafsiri hasa ya mtoto wa mjini ni ipi ni aliezaliwa dar es salaam au ni mtu yeyote mwenye exposure kubwa na kujua mambo mengi?
 
Hivi tafsiri hasa ya mtoto wa mjini ni ipi ni aliezaliwa dar es salaam au ni mtu yeyote mwenye exposure kubwa na kujua mambo mengi?
Wengi wanalengea dsm...ndo maana hapo Kwenye maelezo ya huyu mbeya ..(mtoa mada) kamzungumzia wolper kama wa kuja yan mjini kaja akiwa mkubwa tayari
 
Ila Aunty nyie mtambo, mtu unadaiwa na bado unakua mkali na vichambo juu , halafu nasikia ndo Tabia yake kutapeli watu ukimdai team yake inakuvamia wanaanza kuzusha unatafuta kiki , ila safari hii kagonga mwamba wolper hanaga mchezo na pesa cheusi dawa atalipa tu pesa ya watu.

Kila mtu anamtunishia kifua mwenzie kuwa si lolote, ila ikumbukwe aunty ezekiel ni mtoto wa mjini na wolper kaja juzi mjin na ile mifuko ya shangazi kaja, na ki ukweli wolper hampati kwa mafanikio aunty ezekiel japokua ndio ni tapeli ila aunty ezekiel namba nyingine ile

Wanachofanana tu ni kulea viserengeti boy, akili zao zote zinaendana, wote ni wapambanaji ila hela zao zote wanahonga wanaume, halafu nasikia wolper katoa mimba kubwa tu ya rich mitindo

View attachment 1742523
Kwani kile kijibwa cha Wema sepetu kinachoitwa Manunu kimeshapatikana?
 
cheusi nilipiga kipindi flan daahhh amejaaliwa mzigo kidogo nitumbukie...heheheh
 
Back
Top Bottom