Ahsante, nimeNYOOkaNyoo
Siku moja moja pitia hapa kwangu, una kuja "KAlIA..OO" upate hata "sharubati nziitoo" binamu yanguKigogo mbuyun karibu na polisi
Aahh!! Binamu kwani ww utamwambia shemeji umekuja KAlIA.. OO!???Nije wapi tena Jaman , Nimeolewa mwenzio binamu , unataka kunivunjia ndoa yangu tena , happy Easter
Utakuta nae ni mdada uyo Richardi.Wanawake wa insta kiki hao huyo Rich mitindo ndio nan mwenye picha amuweke tumuone
Utakuta nae ni mdada uyo Richardi.
Utakuta nae ni mdada uyo Richardi.
Tunza mkeo na wwIla Aunt siku hizi kawa msupu au ndio kuzaa kunapendezesha
Kwani yule Ni mke wa Nani ?Tunza mkeo na ww
Ndio nimemshangaa hapo .Sasa aunty Kwan anatunzwa na nani, wakat yeye ndo anatunza serengeti boys
Kuna grupu Niko na Shoga akeeSasa aunty Kwan anatunzwa na nani, wakat yeye ndo anatunza serengeti boys