Wolper: Mwanaume atakayeweza kunipa mimba nitamjengea nyumba ya kifahari

Nyota wa sinema Bongo, Jackline Wolper ameibuka na kutoa neno la kifamilia kwamba, mwanaume atakayeweza kumpa kibendi, yeye atamkirimia kwa kumjengea nyumba ya kisasa yenye mahitaji muhimu ya kibinadamu.

Wolper ambaye kiasili ni Mchaga, ameyasema hayo jana alipokutana laivu na mwandishi wa habari hii, Mikocheni jijini Dar es Salaam.

Alisema kuwa, amekuwa akipata maneno na matamko kutoka kwa watu mbalimbali kwamba, azae sasa, hata mtoto wa kiume.

'Kila nikikatiza maneno ni hayohayo. Sasa mimi nasema, kidume atakayejitokeza akaweza kunipa ujauzito nitamjengea nyumba ya kisasa.

"Nyumba ya vyumba vitatu. Kimoja selfu. Sebule kubwa, toilet ya jumuiya, stoo, bafu na choo ikiwa imezungukwa na ukuta wa ulinzi," alisema Wolper ambaye ukoo wake ni wa Masawe.

Alipoulizwa huyo mwanaume atampataje yeye, alijibu: "Mwenye uhakika anikabili. Mimi nipo." Kuhusu sifa ya mwanaume anayemtaka ampe ujauzito, Wolper alisema 'anayeweza kunipa mimba. Ndiyo sifa namba wani."

Hivi karibuni, mastaa wa filamu Bongo, Aunty Ezekiel Grayson 'Jujuman' na Rose Donatus Ndauka wamejifungua. Wote ni watoto wao wa pili kwenye uzao.
Bado jamii inawatupia macho mastaa hawa wawili, Wema Sepetu, Wolper Kuleta familia zap kwani hata Gigymoney ana mtoto.

Hata Hivyo, mara kadhaa, Wolper amewahi kunukuliwa akidai ni mjamzito. Haijajulikana kama huwa zinatoka au anateleza ulimi. Mungu ndiyo anajua.
Kwa jinsi anavyoongea ni kama mtu aliyesumbuka/anayesumbuka kupata mtoto. Halafu wakati huo huo anaongea kana kwamba shida sio yeye, bali ni mwanaume wa kumpa mimba! Kama analo tatizo la kiafya anatarajia huyo mwanaume afanye miujiza gani? Ni kama kutaka kujaza upepo tairi lenye pancha!!
 
Miaka 10+ ya umaarufu ilimzuzua. Hata hii ya sasa ni kutafuta "yeyote wa kutoka naye" maana ameshapoteza mvuto na anatafuta kwaujanja ujanja.
 
Sasa Wolper anatombw..a na wabana pua anadhani atapata Kweli Mimba. Anatiwa na wakina young D, dogo janja..sijui Jina lokole..mara

Atombw..e na Fid Q au Chidi Benz atapata Mimba fasta..unatiwa na wakina Aristote utapata Mimba Kweli?

Anipe mm mamaeee siku moja tu kizazi hakipo..mamaeee
We ndo muhuni sasa
 
Dunia hii kweli ina maajabu, kuna wanawake wanalalamika kuwa akiachia mzigo tu kitu inaitika yaani wanazaa kama sungura, kuna wengine wanalilia kupata mimba
 
Nyota wa sinema Bongo, Jackline Wolper ameibuka na kutoa neno la kifamilia kwamba, mwanaume atakayeweza kumpa kibendi, yeye atamkirimia kwa kumjengea nyumba ya kisasa yenye mahitaji muhimu ya kibinadamu.

Wolper ambaye kiasili ni Mchaga, ameyasema hayo jana alipokutana laivu na mwandishi wa habari hii, Mikocheni jijini Dar es Salaam.

Alisema kuwa, amekuwa akipata maneno na matamko kutoka kwa watu mbalimbali kwamba, azae sasa, hata mtoto wa kiume.

'Kila nikikatiza maneno ni hayohayo. Sasa mimi nasema, kidume atakayejitokeza akaweza kunipa ujauzito nitamjengea nyumba ya kisasa.

"Nyumba ya vyumba vitatu. Kimoja selfu. Sebule kubwa, toilet ya jumuiya, stoo, bafu na choo ikiwa imezungukwa na ukuta wa ulinzi," alisema Wolper ambaye ukoo wake ni wa Masawe.

Alipoulizwa huyo mwanaume atampataje yeye, alijibu: "Mwenye uhakika anikabili. Mimi nipo." Kuhusu sifa ya mwanaume anayemtaka ampe ujauzito, Wolper alisema 'anayeweza kunipa mimba. Ndiyo sifa namba wani."

Hivi karibuni, mastaa wa filamu Bongo, Aunty Ezekiel Grayson 'Jujuman' na Rose Donatus Ndauka wamejifungua. Wote ni watoto wao wa pili kwenye uzao.
Bado jamii inawatupia macho mastaa hawa wawili, Wema Sepetu, Wolper Kuleta familia zap kwani hata Gigymoney ana mtoto.

Hata Hivyo, mara kadhaa, Wolper amewahi kunukuliwa akidai ni mjamzito. Haijajulikana kama huwa zinatoka au anateleza ulimi. Mungu ndiyo anajua.
1. Yeye mwenyewe hana nyumba ndio amjengee mwanamme?
2.Angekuwa hayupo kwenye "GRIDI" ningejitolea Bure tu.
 
Kuna yule pimbi na panki lake km jogoo wa krismas alimvisha pete 2 month akakimbia sijui nini kilimpata.
Achezee hivyo visharo vya dar tu enzi zetu huyu ni single maza na baba haeleweki
 
Sasa Wolper anatombw..a na wabana pua anadhani atapata Kweli Mimba. Anatiwa na wakina young D, dogo janja..sijui Jina lokole..mara

Atombw..e na Fid Q au Chidi Benz atapata Mimba fasta..unatiwa na wakina Aristote utapata Mimba Kweli?

Anipe mm mamaeee siku moja tu kizazi hakipo..mamaeee
Mbona mama Cheupe hana mtoto wa Fid?
 
Back
Top Bottom