mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,241
- 44,714
Sasa mwenzake anatafuta mimba.yeye anataka amtoe kabisa kizazi.sasa hyo mimba itapatikana kweli
Jamani
Haaaaa nimecheka
Jamani
Haaaaa nimecheka
Siendi bila ruksa yakoHaaaaa Haaaaa 😂
Kwa jinsi anavyoongea ni kama mtu aliyesumbuka/anayesumbuka kupata mtoto. Halafu wakati huo huo anaongea kana kwamba shida sio yeye, bali ni mwanaume wa kumpa mimba! Kama analo tatizo la kiafya anatarajia huyo mwanaume afanye miujiza gani? Ni kama kutaka kujaza upepo tairi lenye pancha!!Nyota wa sinema Bongo, Jackline Wolper ameibuka na kutoa neno la kifamilia kwamba, mwanaume atakayeweza kumpa kibendi, yeye atamkirimia kwa kumjengea nyumba ya kisasa yenye mahitaji muhimu ya kibinadamu.
Wolper ambaye kiasili ni Mchaga, ameyasema hayo jana alipokutana laivu na mwandishi wa habari hii, Mikocheni jijini Dar es Salaam.
Alisema kuwa, amekuwa akipata maneno na matamko kutoka kwa watu mbalimbali kwamba, azae sasa, hata mtoto wa kiume.
'Kila nikikatiza maneno ni hayohayo. Sasa mimi nasema, kidume atakayejitokeza akaweza kunipa ujauzito nitamjengea nyumba ya kisasa.
"Nyumba ya vyumba vitatu. Kimoja selfu. Sebule kubwa, toilet ya jumuiya, stoo, bafu na choo ikiwa imezungukwa na ukuta wa ulinzi," alisema Wolper ambaye ukoo wake ni wa Masawe.
Alipoulizwa huyo mwanaume atampataje yeye, alijibu: "Mwenye uhakika anikabili. Mimi nipo." Kuhusu sifa ya mwanaume anayemtaka ampe ujauzito, Wolper alisema 'anayeweza kunipa mimba. Ndiyo sifa namba wani."
Hivi karibuni, mastaa wa filamu Bongo, Aunty Ezekiel Grayson 'Jujuman' na Rose Donatus Ndauka wamejifungua. Wote ni watoto wao wa pili kwenye uzao.
Bado jamii inawatupia macho mastaa hawa wawili, Wema Sepetu, Wolper Kuleta familia zap kwani hata Gigymoney ana mtoto.
Hata Hivyo, mara kadhaa, Wolper amewahi kunukuliwa akidai ni mjamzito. Haijajulikana kama huwa zinatoka au anateleza ulimi. Mungu ndiyo anajua.
Haaaaa Umejuaje kuwa hana nyumba mkuu?Siendi bila ruksa yako
Pili ni upendo tu na yeye apate mtoto,hiyo nyumba hata yeye mwenyewe hana
Najua tuu,angekuwa nayo angeipost hadi tujueHaaaaa Umejuaje kuwa hana nyumba mkuu?
Hajataka show ofNajua tuu,angekuwa nayo angeipost hadi tujue
ah wapi,kama wakinunua chupi tu wanafanya sherehe na mapicha kedekede ije iwe nyumbaHajataka show of
We ndo muhuni sasaSasa Wolper anatombw..a na wabana pua anadhani atapata Kweli Mimba. Anatiwa na wakina young D, dogo janja..sijui Jina lokole..mara
Atombw..e na Fid Q au Chidi Benz atapata Mimba fasta..unatiwa na wakina Aristote utapata Mimba Kweli?
Anipe mm mamaeee siku moja tu kizazi hakipo..mamaeee
1. Yeye mwenyewe hana nyumba ndio amjengee mwanamme?Nyota wa sinema Bongo, Jackline Wolper ameibuka na kutoa neno la kifamilia kwamba, mwanaume atakayeweza kumpa kibendi, yeye atamkirimia kwa kumjengea nyumba ya kisasa yenye mahitaji muhimu ya kibinadamu.
Wolper ambaye kiasili ni Mchaga, ameyasema hayo jana alipokutana laivu na mwandishi wa habari hii, Mikocheni jijini Dar es Salaam.
Alisema kuwa, amekuwa akipata maneno na matamko kutoka kwa watu mbalimbali kwamba, azae sasa, hata mtoto wa kiume.
'Kila nikikatiza maneno ni hayohayo. Sasa mimi nasema, kidume atakayejitokeza akaweza kunipa ujauzito nitamjengea nyumba ya kisasa.
"Nyumba ya vyumba vitatu. Kimoja selfu. Sebule kubwa, toilet ya jumuiya, stoo, bafu na choo ikiwa imezungukwa na ukuta wa ulinzi," alisema Wolper ambaye ukoo wake ni wa Masawe.
Alipoulizwa huyo mwanaume atampataje yeye, alijibu: "Mwenye uhakika anikabili. Mimi nipo." Kuhusu sifa ya mwanaume anayemtaka ampe ujauzito, Wolper alisema 'anayeweza kunipa mimba. Ndiyo sifa namba wani."
Hivi karibuni, mastaa wa filamu Bongo, Aunty Ezekiel Grayson 'Jujuman' na Rose Donatus Ndauka wamejifungua. Wote ni watoto wao wa pili kwenye uzao.
Bado jamii inawatupia macho mastaa hawa wawili, Wema Sepetu, Wolper Kuleta familia zap kwani hata Gigymoney ana mtoto.
Hata Hivyo, mara kadhaa, Wolper amewahi kunukuliwa akidai ni mjamzito. Haijajulikana kama huwa zinatoka au anateleza ulimi. Mungu ndiyo anajua.
HahahahahahMalaya anataka kupewa mimba?
Mwanaume gani yuko tayari kuja kunywa ARV?
Mbona mama Cheupe hana mtoto wa Fid?Sasa Wolper anatombw..a na wabana pua anadhani atapata Kweli Mimba. Anatiwa na wakina young D, dogo janja..sijui Jina lokole..mara
Atombw..e na Fid Q au Chidi Benz atapata Mimba fasta..unatiwa na wakina Aristote utapata Mimba Kweli?
Anipe mm mamaeee siku moja tu kizazi hakipo..mamaeee