Wolper anunua kopi moja ya albam ya Barnaba(GOLD) kwa sh milion 7

Ananikumbusha mtu mmoja alinunua albam yawu Tang Clan anasikiliza mwenyewe ndani hahaaaa
 
Barnaba anabahati mbaya sijawahi muelewaga zaidi ya wimbo mmoja tu ule wa dont call me lover boy na kwenye chorus ya wimbo wa shilole wa shimo la wengi sijui

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom