Ni kweli kabisa usitie neno, kuna tafsida zitatupeleka kwenye matatizo na wenye ardhi yaoMkuu mm sitaongeza neno
haaaa haaa naamNi kweli kabisa usitie neno, kuna tafsida zitatupeleka kwenye matatizo na wenye ardhi yao
Wanaume wa Dar uwanja wenu huu
Haha.. Wamikoani tunyamaze
Kama umeelewa ishia hapo hapo na usimwambie mtuhaaaa haaa naam
Zote zinaeza tumika inategemea na mtumiaji. Bt katika sehmu nyingi ni HIT AND RUN Yaani piga/gonga na kusepa.hivi ni hit and run au eat and run,,maana wana jf mnanichanga!!!
Unamuonea bure huyu mmakonde mbona baba ake Dimond anatembea na bibi kizee cha Uganda na usemi lolote.Afadhali dogo kaachana na ilo dubwasha.....mama limtu zima kutembea na dogo dogo
Labda lile PENGO.Kafaidi nini hapo?
We kweli umechelewa kuja mjini.Kiba lazma amuchujuwe Wolper mana wa WCB wakiacha tu kiba anachukuwa.
Unamuonea bure huyu mmakonde mbona baba ake Dimond anatembea na bibi kizee cha Uganda na usemi lolote.
We kweli umechelewa kuja mjini.
Wakati Wolper anasema Ali ndio Mwanaume wake wa Kwanza hapa mjini ulikuwa unapalilia zao gani kijijini kwenu?
Hayo ndiyo yaliyonifanya nisikitike kukosa posts za mzaramo.Ni wachache sana, watakao elewa nini ulicho kiandika...
Hayo ndiyo yaliyonifanya nisikitike kukosa posts za mzaramo.
Aiseee huyu jamaa ni noma sana
Licha ya kuwa ni X wa boss pia kishachumbiwa na mkongo.
Ila najiuliza hivi kuna mtu yoyote alitegemea hawa jamaa watafunga ndoa na kuwa na familia?
Vitu vingine kabla havijaanza vinakuwaga na majibu yake tayari labda uwe na Akili za jamaa wa Madale.
Sasa hivi ni zamu yako atakuja kwakoKavuta pesa kasepa, akichacha atasaka mwingine.
Kama pap yake nayo imeliwa basi hakuna la ajabu, au hana ushindi juu ya Harmonize.
Nahisi alianza kunyimwa na omba omba nyingi, kupenda vya mtelemko. Kaka wa watu kashtuka pesa isiishe.