ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Si mara Ya kwanza kusikia Simba na Yanga zikijitoa kwenye michuano mikubwa hasa Ya hapa East Africa,wote wamekua mara nyingi wakitoa sababu ambazo hazina mashiko, lakini inafikia mtu unajiuliza ni lini wachezaji wetu hawa ambao wengi wao ni wachezaji wanaoaminiwa na taifa,Ni lini watajenga moyo wa upambanaji? Kwanini wanaogopa sana mipambano Ya kimataifa? Ni lini watajijengea ujasiri? (Fighting Spirit)
T. P. Mazembe ni klabu kubwa Sana ukilinganisha na Yanga na Simba mbona wao hawana dharau na woga huu na wamekubali kuja shiriki Kagame Cup hivi Wao Simba na Yanga ni Nani?
Timu hizi mbili zinajenga na ni kiini cha Udhaifu mkubwa wa maendeleo Ya soka nchini
Kesho jumapili Everton inacheza na Kariobang Sharks pale Nairobi Kenya isingekua Udhaifu wa hawa ndg zetu tungeshuhudia mtanange huu hapa nyumbani pengine! na huu ni mwaka wa pili mfululizo timu za kenya zina fanikiwa kucheza na everton
Na ndio Kisa tulifungwa na harambee stars sikushangaa ni kutokana na madhaifu haya! Na ndiyo kisa hatutaweza pia kuwashinda Drc wenzetu wanaona mbali si klabu hizi zinazoona kuanzia Jangwani na mwisho mtaa wa msimbazi kariakoo!
Serikali zifuteni klabu hizi ni mzigo tu tokea miaka ya 1930's hata viwanja hazina!
T. P. Mazembe ni klabu kubwa Sana ukilinganisha na Yanga na Simba mbona wao hawana dharau na woga huu na wamekubali kuja shiriki Kagame Cup hivi Wao Simba na Yanga ni Nani?
Timu hizi mbili zinajenga na ni kiini cha Udhaifu mkubwa wa maendeleo Ya soka nchini
Kesho jumapili Everton inacheza na Kariobang Sharks pale Nairobi Kenya isingekua Udhaifu wa hawa ndg zetu tungeshuhudia mtanange huu hapa nyumbani pengine! na huu ni mwaka wa pili mfululizo timu za kenya zina fanikiwa kucheza na everton
Na ndio Kisa tulifungwa na harambee stars sikushangaa ni kutokana na madhaifu haya! Na ndiyo kisa hatutaweza pia kuwashinda Drc wenzetu wanaona mbali si klabu hizi zinazoona kuanzia Jangwani na mwisho mtaa wa msimbazi kariakoo!
Serikali zifuteni klabu hizi ni mzigo tu tokea miaka ya 1930's hata viwanja hazina!