Wizkid Kutokufika Marekani Katika Tuzo za BET hii inamaanisha nini?

ESPRESSO COFFEE

JF-Expert Member
Sep 6, 2014
6,170
7,660
Tarehe 28/6 mwaka huu zinaenda kutolewa tuzo za BET ambazo Bongo tunawakilishwa na Diamond platnumz! Na hichi ndicho kinacho tufanya Tuzifuatilie sana Hizi Tuzo! Millard Ayo yupo Naye kutuhabarisha kila kinacho endelea huko!

Wengi wamekuwa wakisema Mpinzani mkubwa wa Diamond Platnumz katika tuzo hizi za BET ni Wizkid! Wamefika mbali na kusema kuwa Diamond hata weza kutwaa tuzo hiyo ya Best African Act kwa sababu ya wizkid! Lakini nimekuwa nikijiukiza maswali kadhaa katika hili

1.Kwanini Wizkid Hajawahi Post chochote kinacho husu BET katika mtandao wowote ule wa Kijamii hata kujiombea Kura tuuu zaidi ya Wabongo wenye Shobo kwa wizkid kumuombea kura?

2.Wasanii wote ambao wapo nominated katika kipengele hicho kwa sasa wapo USA wakijiandaa na hizo tuzo lakini Wizkid peke Yake hayupo na sijamuona kabisaaa hii inamaanisha nini! Je kakubali kushindwa au kajitoa kiainaa! Tumemuona Diamond, AKA,tumemuona Cassy,Yemi Alade na wengine Kasoro yeye tuuu! Je kuna nini hapo?

3.Vituo mbali mbali vyenye uhusiano na BET vimekuwa vikiwahoji wasanii wa africa ambao wako nominated! Je kutomwona kwao Wizkid katika tuzo hizi kubwaaa kabisa duniani wanaelewa nini? Watafikiria nini?

Ni maswali ambayo najiuluza sanaaa na ningeomba wale wabongo wanaomchukia Diamond au wanao msupport Wizkid wajiulize haya maswali! Kabla tuzo hazijatolewa

Nawasilisha!
 
Mleta uzi wewe upo marekani?


Wizkid alishawaambia BET hataki kushiriki kwenye tuzo zao mpaka pale waandaaji watapotambua thamani ya wasanii wa kiafrika,
Anasema hizo tuzo wanapewa siku 1 kabla ya tuzo zenyewe kutangazwa tena unapewa kwa mlango wa nyuma mradi tu unapiga picha nayo,
Yeye anataka na waafrika wapewe mbele ya majukwaa kama wengine na wapewe kuongea sio kama wanavyopewa,
Ukweli simjui hata huyo Wizkid anatoka nchi gani,
Hili nilisikia radio fm fulani wanajadili jambo hili,
 
Mleta uzi wewe upo marekani?


Wizkid alishawaambia BET hataki kushiriki kwenye tuzo zao mpaka pale waandaaji watapotambua thamani ya wasanii wa kiafrika,
Anasema hizo tuzo wanapewa siku 1 kabla ya tuzo zenyewe kutangazwa tena unapewa kwa mlango wa nyuma mradi tu unapiga picha nayo,
Yeye anataka na waafrika wapewe mbele ya majukwaa kama wengine na wapewe kuongea sio kama wanavyopewa,
Ukweli simjui hata huyo Wizkid anatoka nchi gani,
Hili nilisikia radio fm fulani wanajadili jambo hili,
Je kama wamebadirisha utaratibu utajuaje?
 
Naona watu wanawachukulia poa akina AKA na Cassper Nyovest japo media za kule ziko bize na wao kuliko Diamond na Wizkid.

Hata hivyo jeuri ya wizkid itapunguza ushindani kwa Diamond na kumpa sababu zaidi za kushinda japo sio kirahis kama tunavyoona.

Yemi Alade pia amefanya vizur mwaka mzima huu kwahyo sio mtu wa kupuuzwa pia.

Bado mchakato ni mgumu lakin tushirikiane kuomba kombe lirudi nyumbani.
All the best C.E.O wa WCB
 
Naona watu wanawachukulia poa akina AKA na Cassper Nyovest japo media za kule ziko bize na wao kuliko Diamond na Wizkid.

Hata hivyo jeuri ya wizkid itapunguza ushindani kwa Diamond na kumpa sababu zaidi za kushinda japo sio kirahis kama tunavyoona.

Yemi Alade pia amefanya vizur mwaka mzima huu kwahyo sio mtu wa kupuuzwa pia.

Bado mchakato ni mgumu lakin tushirikiane kuomba kombe lirudi nyumbani.
All the best C.E.O wa WCB
Naona unarukaruka tu kama chura
 
Wizkid hana shida na hyo tuzo ya BET had watakapo jirekebisha ye ansubir billboard na Grammy #onedance
 
Aliziponda sana mwakajana nadhani marekebisha aliyokua anataka bdo ajayaona kwaio anachill..ila ryt now ndio msanii mkubwa wa Africa
 
Kuna watu wengine wanauwezo wa kuona nje ya pazia bila shaka wizkid ni mojawapo...keshaona huyu mtu anayetokea tandale keshabeba hiyo ngoma so kwenda USA nikama kujipatisha aibu ya karne

wazee wa assumption
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom