marinemzee
Senior Member
- Jul 22, 2015
- 113
- 69
South AfricaAnatoka wapi
South AfricaAnatoka wapi
Team D at work..Kuna watu wengine wanauwezo wa kuona nje ya pazia bila shaka wizkid ni mojawapo...keshaona huyu mtu anayetokea tandale keshabeba hiyo ngoma so kwenda USA nikama kujipatisha aibu ya karne
Diamond anafanya vizur lakin Kufananisha level za diamond na wizkid ni ujingaKuna watu wengine wanauwezo wa kuona nje ya pazia bila shaka wizkid ni mojawapo...keshaona huyu mtu anayetokea tandale keshabeba hiyo ngoma so kwenda USA nikama kujipatisha aibu ya karne
Hakuna kilichobadilikaJe kama wamebadirisha utaratibu utajuaje?
HUYO HAOMBAGI KURA HATA SIKU MOJA WE NENDA KWENYE AKAUNTI ZAKEKwani wizkid anaombaga kura ?
PMAnatoka wapi
WIZKID MIAKA YOTE HAJAWAI KWENDA KUUZA SURA HUKOHa ha ha wizkid alijua atashindwa na diamond ndio maana akwenda..kesho tukampoke diamond amekuja na tuzo ya bet lakini amekuja na tuzo ya mabox