Wizkid hanahofu na tuzo June 25 US

Baraka Dakim

Member
Jun 9, 2017
5
1
Star wa pop Nigeria, Wizkid alizungumza kuwa hana hofu kwa sababu anajua alichokifanya na kazi yake kupenda na watu....Gtv in Nigeria

ab81fabe2e42b0d6b5104b8358975fb2.jpg
 
Tuzo zipi kwanza?
Kama ni BET Wiz hazimsumbui sana tho ni tuzo kubwa
kwani ni mda sasa amekuwa haendi kwenye hizo tuzo hata hakiwa nominated
Niliwahi kumsikiliza sikumoja aliulizwa kwanini hahudhurii Sababu yake alisema hadi waandaji watakapoacha kuwabagua wNamziki wa Africakwa kuwapa tuzo asubuhi na hao wa nje ambao wanapewa tuzo usiku
 
Wizkid ft cris brown African bad girl, hatari bonge la nyimbo na nahisi ameiachia kipindi hiki cha tuzo za BET, ili imboost aweze kuchukua tuzo.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom